Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;

      Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+

  • Zaburi 78:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Naye akaendelea kukumbuka kwamba wao ni wenye mwili wa nyama,+

      Kwamba roho inaenda wala hairudi.+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki