Ayubu 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini mwanamume hufa na kulala akiwa ameshindwa;Na mtu wa udongo hukata pumzi, naye yuko wapi?+ Zaburi 78:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akaendelea kukumbuka kwamba wao ni wenye mwili wa nyama,+Kwamba roho inaenda wala hairudi.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+ Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+