Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+

      Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+

  • Zaburi 39:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa kweli mtu hutembea huku na huku kama kivuli tu.+

      Kwa kweli wana msukosuko ambao ni ubatili.+

      Mmoja anarundika vitu wala hajui ni nani atakayevikusanya.+

  • Mhubiri 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ni nani anayejua mwanadamu anapata mema gani maishani+ kwa hesabu ya siku za maisha yake ya ubatili, anapozitumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu litakalotokea baada yake chini ya jua?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki