19 Na ni nani anayejua kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?+ Hata hivyo, atachukua usimamizi wa kazi yangu yote iliyo ngumu niliyoifanya kwa bidii ambayo ndani yake nilitumia hekima chini ya jua.+ Hilo pia ni ubatili.
8 Kuna mtu mmoja, wala hakuna wa pili;+ naye hana mwana wala ndugu,+ lakini kazi yake ngumu haina mwisho. Pia, macho yake mwenyewe hayatosheki na utajiri:+ “Nami ninamfanyia nani kazi yote hii ngumu na kuinyima nafsi yangu mambo mazuri?”+ Hilo pia ni ubatili, nalo ni shughuli yenye msiba.+