Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yeye atatayarisha, lakini mwadilifu ndiye atakayevaa,+

      Na yeye asiye na hatia ndiye atakayekuwa na fungu katika ile fedha.

  • Zaburi 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana yeye huona kwamba hata wenye hekima wanakufa,+

      Mjinga na asiyetumia akili huangamia wote pamoja,+

      Nao hulazimika kuwaachia wengine mali yao.+

  • Methali 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtu mwema atawaachia urithi wana wa wanawe, na mali ya mtenda-dhambi huwekwa akiba kwa ajili ya mwadilifu.+

  • Mhubiri 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ni nani anayejua kama atakuwa mwenye hekima au mpumbavu?+ Hata hivyo, atachukua usimamizi wa kazi yangu yote iliyo ngumu niliyoifanya kwa bidii ambayo ndani yake nilitumia hekima chini ya jua.+ Hilo pia ni ubatili.

  • Mhubiri 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kuna mtu mmoja, wala hakuna wa pili;+ naye hana mwana wala ndugu,+ lakini kazi yake ngumu haina mwisho. Pia, macho yake mwenyewe hayatosheki na utajiri:+ “Nami ninamfanyia nani kazi yote hii ngumu na kuinyima nafsi yangu mambo mazuri?”+ Hilo pia ni ubatili, nalo ni shughuli yenye msiba.+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki