Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata hivyo, akaliacha shauri la wanaume wazee walilomshauri, naye akaanza kushauriana na vijana waliokua pamoja naye,+ waliokuwa wakimhudumia.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mfalme akaanza kuwajibu kwa ukali.+ Basi Mfalme Rehoboamu akaliacha shauri+ la wanaume wazee,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki