1 Wafalme 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata hivyo, akaliacha shauri la wanaume wazee walilomshauri, naye akaanza kushauriana na vijana waliokua pamoja naye,+ waliokuwa wakimhudumia.+ 2 Mambo ya Nyakati 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mfalme akaanza kuwajibu kwa ukali.+ Basi Mfalme Rehoboamu akaliacha shauri+ la wanaume wazee,+ 2 Mambo ya Nyakati 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
8 Hata hivyo, akaliacha shauri la wanaume wazee walilomshauri, naye akaanza kushauriana na vijana waliokua pamoja naye,+ waliokuwa wakimhudumia.+
9 Basi Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu, akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya mfalme.+ Akachukua kila kitu; kwa hiyo akazichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+