Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 12:1

Marejeo

  • +2Nya 10:1
  • +Mwa 12:6; 33:18; Yos 20:7; Amu 9:1; Mdo 7:16

1 Wafalme 12:2

Marejeo

  • +1Fa 11:26
  • +1Fa 11:40; 2Nya 10:2

1 Wafalme 12:3

Marejeo

  • +2Nya 10:3

1 Wafalme 12:4

Marejeo

  • +1Sa 8:11, 18; 1Fa 4:7
  • +Mt 11:30
  • +2Nya 10:4

1 Wafalme 12:5

Marejeo

  • +1Fa 12:12; 2Nya 10:5

1 Wafalme 12:6

Marejeo

  • +2Sa 16:20; Met 11:14; 20:29
  • +2Nya 10:6; Met 22:17

1 Wafalme 12:7

Marejeo

  • +Mhu 4:13; Mk 10:43
  • +Met 15:1
  • +2Nya 10:7

1 Wafalme 12:8

Marejeo

  • +Met 13:20; 24:7; Isa 3:4
  • +2Nya 10:8

1 Wafalme 12:9

Marejeo

  • +2Sa 17:6
  • +2Nya 10:9

1 Wafalme 12:10

Marejeo

  • +2Sa 17:7
  • +2Nya 10:10; Zb 140:11; Met 18:6; 29:23

1 Wafalme 12:11

Marejeo

  • +2Nya 16:10; Met 11:17
  • +2Nya 10:11; Isa 3:5

1 Wafalme 12:12

Marejeo

  • +2Nya 10:12

1 Wafalme 12:13

Marejeo

  • +Mwa 42:30; Met 15:1; 18:23; Mhu 10:12
  • +2Nya 10:13; Met 13:20

1 Wafalme 12:14

Marejeo

  • +Met 12:5
  • +2Nya 10:14; Met 29:2

1 Wafalme 12:15

Marejeo

  • +Met 21:13
  • +Kum 2:30; 2Nya 10:15; 22:7; Zb 5:10; Met 21:1; Amo 3:6; Ro 9:18
  • +1Sa 15:29; Isa 55:11
  • +1Fa 11:31

1 Wafalme 12:16

Marejeo

  • +2Sa 20:1; 2Nya 10:16
  • +Kut 20:3; Met 11:9
  • +2Sa 7:15

1 Wafalme 12:17

Marejeo

  • +1Fa 11:13; 2Nya 10:17; 11:13, 16

1 Wafalme 12:18

Marejeo

  • +2Sa 20:24; 1Fa 4:6
  • +1Fa 5:14
  • +Kut 17:4; Hes 14:10; 2Nya 10:18; 24:21; Mdo 5:26

1 Wafalme 12:19

Marejeo

  • +2Fa 17:21
  • +2Nya 10:19

1 Wafalme 12:20

Marejeo

  • +1Fa 11:31
  • +1Fa 11:13; 2Nya 13:10; 25:5; Ho. 11:12

1 Wafalme 12:21

Marejeo

  • +2Nya 11:1
  • +2Nya 14:8; 17:17

1 Wafalme 12:22

Marejeo

  • +2Nya 11:2; 12:5
  • +1Fa 13:1; 17:18; Ebr 1:1

1 Wafalme 12:24

Marejeo

  • +Hes 14:42
  • +1Fa 11:31; Met 16:9
  • +Mdo 5:39
  • +2Nya 11:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2018, kur. 13-14

1 Wafalme 12:25

Marejeo

  • +1Fa 12:1
  • +Mwa 32:31; Amu 8:9, 17

1 Wafalme 12:26

Marejeo

  • +Zb 14:1
  • +1Fa 11:38

1 Wafalme 12:27

Marejeo

  • +Kum 12:5; 1Fa 8:29; 11:32
  • +Met 29:25

1 Wafalme 12:28

Marejeo

  • +Isa 30:1
  • +Kut 20:4; 2Fa 10:29; 2Nya 11:15; Mdo 17:29
  • +Kut 32:4; 2Fa 17:41
  • +Kut 32:8

1 Wafalme 12:29

Marejeo

  • +Mwa 12:8; 28:19
  • +Mwa 14:14; Kum 34:1; Amu 18:29; 20:1; 2Fa 10:29

1 Wafalme 12:30

Marejeo

  • +1Fa 13:34; 2Fa 10:31; 17:21

1 Wafalme 12:31

Marejeo

  • +1Fa 13:32; Eze 16:25
  • +Hes 3:10; 1Fa 13:33; 2Nya 11:14; 13:9

1 Wafalme 12:32

Marejeo

  • +Law 23:34; Hes 29:12; 1Fa 8:2
  • +Amo 7:13

1 Wafalme 12:33

Marejeo

  • +2Ko 11:14
  • +1Ko 10:20

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 12:12Nya 10:1
1 Fal. 12:1Mwa 12:6; 33:18; Yos 20:7; Amu 9:1; Mdo 7:16
1 Fal. 12:21Fa 11:26
1 Fal. 12:21Fa 11:40; 2Nya 10:2
1 Fal. 12:32Nya 10:3
1 Fal. 12:41Sa 8:11, 18; 1Fa 4:7
1 Fal. 12:4Mt 11:30
1 Fal. 12:42Nya 10:4
1 Fal. 12:51Fa 12:12; 2Nya 10:5
1 Fal. 12:62Sa 16:20; Met 11:14; 20:29
1 Fal. 12:62Nya 10:6; Met 22:17
1 Fal. 12:7Mhu 4:13; Mk 10:43
1 Fal. 12:7Met 15:1
1 Fal. 12:72Nya 10:7
1 Fal. 12:8Met 13:20; 24:7; Isa 3:4
1 Fal. 12:82Nya 10:8
1 Fal. 12:92Sa 17:6
1 Fal. 12:92Nya 10:9
1 Fal. 12:102Sa 17:7
1 Fal. 12:102Nya 10:10; Zb 140:11; Met 18:6; 29:23
1 Fal. 12:112Nya 16:10; Met 11:17
1 Fal. 12:112Nya 10:11; Isa 3:5
1 Fal. 12:122Nya 10:12
1 Fal. 12:13Mwa 42:30; Met 15:1; 18:23; Mhu 10:12
1 Fal. 12:132Nya 10:13; Met 13:20
1 Fal. 12:14Met 12:5
1 Fal. 12:142Nya 10:14; Met 29:2
1 Fal. 12:15Met 21:13
1 Fal. 12:15Kum 2:30; 2Nya 10:15; 22:7; Zb 5:10; Met 21:1; Amo 3:6; Ro 9:18
1 Fal. 12:151Sa 15:29; Isa 55:11
1 Fal. 12:151Fa 11:31
1 Fal. 12:162Sa 20:1; 2Nya 10:16
1 Fal. 12:16Kut 20:3; Met 11:9
1 Fal. 12:162Sa 7:15
1 Fal. 12:171Fa 11:13; 2Nya 10:17; 11:13, 16
1 Fal. 12:182Sa 20:24; 1Fa 4:6
1 Fal. 12:181Fa 5:14
1 Fal. 12:18Kut 17:4; Hes 14:10; 2Nya 10:18; 24:21; Mdo 5:26
1 Fal. 12:192Fa 17:21
1 Fal. 12:192Nya 10:19
1 Fal. 12:201Fa 11:31
1 Fal. 12:201Fa 11:13; 2Nya 13:10; 25:5; Ho. 11:12
1 Fal. 12:212Nya 11:1
1 Fal. 12:212Nya 14:8; 17:17
1 Fal. 12:222Nya 11:2; 12:5
1 Fal. 12:221Fa 13:1; 17:18; Ebr 1:1
1 Fal. 12:24Hes 14:42
1 Fal. 12:241Fa 11:31; Met 16:9
1 Fal. 12:24Mdo 5:39
1 Fal. 12:242Nya 11:4
1 Fal. 12:251Fa 12:1
1 Fal. 12:25Mwa 32:31; Amu 8:9, 17
1 Fal. 12:26Zb 14:1
1 Fal. 12:261Fa 11:38
1 Fal. 12:27Kum 12:5; 1Fa 8:29; 11:32
1 Fal. 12:27Met 29:25
1 Fal. 12:28Isa 30:1
1 Fal. 12:28Kut 20:4; 2Fa 10:29; 2Nya 11:15; Mdo 17:29
1 Fal. 12:28Kut 32:4; 2Fa 17:41
1 Fal. 12:28Kut 32:8
1 Fal. 12:29Mwa 12:8; 28:19
1 Fal. 12:29Mwa 14:14; Kum 34:1; Amu 18:29; 20:1; 2Fa 10:29
1 Fal. 12:301Fa 13:34; 2Fa 10:31; 17:21
1 Fal. 12:311Fa 13:32; Eze 16:25
1 Fal. 12:31Hes 3:10; 1Fa 13:33; 2Nya 11:14; 13:9
1 Fal. 12:32Law 23:34; Hes 29:12; 1Fa 8:2
1 Fal. 12:32Amo 7:13
1 Fal. 12:332Ko 11:14
1 Fal. 12:331Ko 10:20
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 12:1-33

1 Wafalme

12 Na Rehoboamu+ akaenda Shekemu, kwa maana Israeli wote walikuja kumfanya kuwa mfalme huko Shekemu.+ 2 Na ikawa kwamba mara tu Yeroboamu+ mwana wa Nebati aliposikia habari hizo alipokuwa angali Misri (kwa maana alikuwa amekimbia kwa sababu ya Mfalme Sulemani, ili Yeroboamu akae Misri),+ 3 ndipo wakatuma watu, wakamwita. Baada ya hapo Yeroboamu na kutaniko lote la Israeli wakaja na kuanza kuzungumza na Rehoboamu, wakisema:+ 4 “Baba yako aliifanya nira yetu kuwa ngumu, na sasa wewe ufanye utumishi mgumu wa baba yako na nira yake nzito+ aliyoweka juu yetu kuwa rahisi,+ nasi tutakutumikia.”+

5 Ndipo akawaambia: “Nendeni zenu kwa siku tatu, kisha mrudi tena kwangu.”+ Basi watu wakaenda zao. 6 Na Mfalme Rehoboamu akaanza kushauriana na wanaume wazee+ waliomhudumia Sulemani baba yake alipokuwa angali hai, akisema: “Mnatoa shauri gani la kuwajibu watu hawa?”+ 7 Basi wakasema naye, wakimwambia: “Leo ukitaka kukubali kuwa mtumishi wa watu hawa na kuwatumikia kikweli,+ uwajibu na kusema nao kwa maneno mema;+ nao hakika watakuwa watumishi wako sikuzote.”+

8 Hata hivyo, akaliacha shauri la wanaume wazee walilomshauri, naye akaanza kushauriana na vijana waliokua pamoja naye,+ waliokuwa wakimhudumia.+ 9 Naye akawaambia: “Mnatoa shauri gani+ ili tuwajibu watu hawa ambao wamesema nami, wakiniambia, ‘Ifanye nira ambayo baba yako aliweka juu yetu iwe rahisi’?”+ 10 Ndipo wale vijana waliokuwa wamekua pamoja naye wakamwambia, wakisema: “Waambie+ hivi watu hawa ambao wamesema nawe, ‘Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito, lakini wewe ifanye iwe rahisi juu yetu’; wewe waambie hivi, ‘Kidole changu kidogo kwa hakika kitakuwa kinene kuliko kiuno cha baba yangu.+ 11 Na sasa baba yangu aliweka juu yenu nira nzito; lakini mimi nitaizidisha nira yenu.+ Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.’”+

12 Na Yeroboamu na watu wote wakamjia Rehoboamu siku ya tatu, kama mfalme alivyosema: “Rudini kwangu siku ya tatu.”+ 13 Na mfalme akaanza kuwajibu watu kwa ukali,+ akaliacha shauri la wanaume wazee waliomshauri.+ 14 Naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Baba yangu aliifanya nira yenu kuwa nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+ 15 Na mfalme hakuwasikiliza watu,+ kwa sababu Yehova ndiye aliyeongoza mambo,+ ili atimize neno+ lake ambalo Yehova alimwambia Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya+ Mshilo.

16 Israeli wote walipoona kwamba mfalme hakuwasikiliza, ndipo watu wakamjibu mfalme, wakisema: “Tuna fungu gani katika Daudi?+ Wala hakuna urithi katika mwana wa Yese. Haya, nenda kwa miungu yako,+ Ee Israeli. Sasa angalia nyumba yako mwenyewe, Ee Daudi!”+ Kwa hiyo Israeli wakaanza kwenda katika mahema yao. 17 Naye Rehoboamu akaendelea kutawala juu ya wana wa Israeli waliokuwa wakikaa katika majiji ya Yuda.+

18 Basi Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu,+ aliyekuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa,+ lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe,+ naye akafa. Na Mfalme Rehoboamu akafaulu kupanda katika gari, akakimbia kwenda Yerusalemu. 19 Na Waisraeli wakaendeleza maasi+ yao juu ya nyumba ya Daudi mpaka leo hii.+

20 Na ikawa kwamba mara tu Israeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, mara moja wakatuma watu kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya kuwa mfalme juu ya Israeli yote.+ Hakuna yeyote aliyekuwa mfuasi wa nyumba ya Daudi isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+

21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akakutanisha nyumba yote ya Yuda na kabila la Benyamini,+ wanaume bora 180,000 kwa ajili ya vita, ili wapigane na nyumba ya Israeli, ili kumrudishia ufalme Rehoboamu mwana wa Sulemani. 22 Ndipo neno la Mungu wa kweli likamjia Shemaya+ mtu wa Mungu wa kweli,+ na kusema: 23 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani mfalme wa Yuda na nyumba yote ya Yuda na Benyamini na wale watu wengine, 24 ‘Yehova amesema hivi: “Msipande kwenda kupigana na ndugu zenu wana wa Israeli.+ Mrudi kila mmoja nyumbani kwake, kwa maana jambo hili limetokea kwa mwongozo wangu.”’”+ Basi wakalitii neno la Yehova,+ wakarudi nyumbani kulingana na neno la Yehova.+

25 Na Yeroboamu akajenga Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, akakaa humo. Kisha akatoka huko, akajenga Penueli.+ 26 Na Yeroboamu akaanza kusema moyoni mwake:+ “Sasa ufalme utarudi kwa nyumba ya Daudi.+ 27 Watu hawa wakiendelea kwenda kutoa dhabihu katika nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ moyo wa watu hawa pia utarudi kwa bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda; nao hakika wataniua+ na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.” 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+ 29 Kisha akaweka mmoja kule Betheli,+ na mwingine akamweka kule Dani.+ 30 Na jambo hilo likaja kusababisha dhambi,+ na watu wakaanza kwenda mpaka kule Dani mbele ya yule aliyekuwa huko.

31 Naye akaanza kujenga nyumba ya mahali pa juu+ na kuweka makuhani kutoka kwa watu wa kawaida, ambao hawakuwa wa wana wa Lawi.+ 32 Na Yeroboamu akafanya sherehe katika mwezi wa nane siku ya kumi na tano ya mwezi huo, kama ile sherehe iliyokuwa katika Yuda,+ ili atoe matoleo juu ya madhabahu aliyokuwa ameijenga kule Betheli, ya kutoa dhabihu kwa wale ndama aliotengeneza; naye akaweka makuhani Betheli+ wahudumu mahali pa juu alipokuwa amejenga. 33 Naye akaanza kutoa matoleo juu ya ile madhabahu aliyokuwa amejenga Betheli, siku ya kumi na tano katika mwezi wa nane, mwezi ambao yeye mwenyewe alijibunia;+ naye akafanya sherehe kwa ajili ya wana wa Israeli na kutoa matoleo juu ya madhabahu ili kufukiza moshi wa dhabihu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki