40 Na Sulemani akaanza kutafuta kumuua Yeroboamu.+ Kwa hiyo Yeroboamu akaondoka, akakimbia+ kwenda Misri kwa Shishaki+ mfalme wa Misri, naye akaendelea kukaa katika Misri mpaka Sulemani alipokufa.
2 Na ikawa kwamba mara tu Yeroboamu+ mwana wa Nebati aliposikia habari hizo alipokuwa angali Misri,+ (kwa maana alikuwa amekimbia kwa sababu ya Sulemani mfalme,) Yeroboamu akarudi mara moja kutoka Misri.+