1 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu. 2 Mambo ya Nyakati 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu,+ Shishaki+ mfalme wa Misri akaja kushambulia Yerusalemu, (kwa maana walikuwa wamejiendesha kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova,)+
25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu.
2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu,+ Shishaki+ mfalme wa Misri akaja kushambulia Yerusalemu, (kwa maana walikuwa wamejiendesha kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova,)+