40 Na Sulemani akaanza kutafuta kumuua Yeroboamu.+ Kwa hiyo Yeroboamu akaondoka, akakimbia+ kwenda Misri kwa Shishaki+ mfalme wa Misri, naye akaendelea kukaa katika Misri mpaka Sulemani alipokufa.
2 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu,+ Shishaki+ mfalme wa Misri akaja kushambulia Yerusalemu, (kwa maana walikuwa wamejiendesha kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova,)+