1 Wafalme 11:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Na Sulemani akaanza kutafuta kumuua Yeroboamu.+ Kwa hiyo Yeroboamu akaondoka, akakimbia+ kwenda Misri kwa Shishaki+ mfalme wa Misri, naye akaendelea kukaa katika Misri mpaka Sulemani alipokufa. 1 Wafalme 14:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu.
40 Na Sulemani akaanza kutafuta kumuua Yeroboamu.+ Kwa hiyo Yeroboamu akaondoka, akakimbia+ kwenda Misri kwa Shishaki+ mfalme wa Misri, naye akaendelea kukaa katika Misri mpaka Sulemani alipokufa.
25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu.