Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 14
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wafalme 14:1

Marejeo

  • +2Sa 12:15; 1Fa 14:12

1 Wafalme 14:2

Marejeo

  • +1Sa 28:8; 2Sa 14:2; 1Fa 22:30
  • +1Fa 12:15
  • +1Fa 11:31

1 Wafalme 14:3

Marejeo

  • +1Sa 9:7; 1Fa 13:7; 2Fa 4:42
  • +Yer 19:1
  • +Mwa 33:8; 2Fa 5:15
  • +2Fa 8:8

1 Wafalme 14:4

Marejeo

  • +Yos 18:1; 1Sa 4:3; 1Fa 11:29; Yer 7:12
  • +Mwa 27:1; 48:10; Kum 27:18; 1Sa 3:2; Zb 90:10; Mhu 12:3

1 Wafalme 14:5

Marejeo

  • +Met 21:30; Yer 32:19; Lu 20:20; Ebr 4:13

1 Wafalme 14:6

Marejeo

  • +Ayu 5:13; Zb 33:10

1 Wafalme 14:7

Marejeo

  • +1Fa 11:31; 12:20; 16:2

1 Wafalme 14:8

Marejeo

  • +1Fa 12:16
  • +1Fa 11:33; 15:5; Mdo 13:22

1 Wafalme 14:9

Marejeo

  • +Kum 32:16; Zb 96:5; 115:4; Isa 44:9; Yer 10:14
  • +Kum 27:15; 2Nya 11:15; Isa 41:29; 1Ko 8:4
  • +Kum 9:8; Zb 78:40
  • +Ne 9:26; Zb 50:17; Eze 23:35

1 Wafalme 14:10

Marejeo

  • +1Sa 25:34; 1Fa 16:11; 2Fa 9:8
  • +Kum 32:36
  • +1Fa 15:29
  • +2Fa 21:13

1 Wafalme 14:11

Marejeo

  • +1Fa 16:4; 21:24
  • +1Sa 17:46; Yer 15:3; Ufu 19:21

1 Wafalme 14:13

Marejeo

  • +1Sa 25:1
  • +2Nya 12:12; Eze 18:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, uku. 244

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    7/1/2010, uku. 29

    7/1/2005, uku. 31

    4/1/1995, uku. 12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 7/1 29; w05 7/1 31; cl 244

1 Wafalme 14:14

Marejeo

  • +1Fa 15:29
  • +Zb 103:10; Mhu 8:11; 2Pe 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, kur. 133-134

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 133-134

1 Wafalme 14:15

Marejeo

  • +1Sa 12:25; Yer 15:2
  • +Kum 29:28; 2Fa 17:6; Mt 15:13
  • +Kum 8:7; Yos 23:15
  • +Kum 28:64; 2Fa 15:29; 18:11
  • +2Sa 8:3
  • +Kum 12:3
  • +1Fa 14:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Unabii wa Isaya 1, kur. 133-134

  • Fahirishi ya Machapisho

    ip-1 133-134

1 Wafalme 14:16

Marejeo

  • +Kum 28:63
  • +1Fa 12:30; 13:34; 14:9; Mt 18:7

1 Wafalme 14:17

Marejeo

  • +Yos 12:24; 1Fa 15:33; 16:8

1 Wafalme 14:19

Marejeo

  • +2Nya 12:15; 13:3
  • +1Fa 15:31; 16:5; 22:39

1 Wafalme 14:20

Marejeo

  • +2Nya 13:20; Ayu 14:12
  • +1Fa 15:25

1 Wafalme 14:21

Marejeo

  • +1Fa 11:43; 2Nya 12:1
  • +1Fa 8:16; 11:36; 2Nya 12:13
  • +Zb 78:68; 132:13
  • +Kut 20:24; Kum 12:5
  • +1Fa 11:1; 2Nya 12:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2011, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 12/15 10

1 Wafalme 14:22

Marejeo

  • +Amu 3:7; 2Fa 17:19; 2Nya 12:1; Yer 3:8
  • +Kut 34:14; Kum 4:24; Zb 78:58; Isa 65:2; 1Ko 10:22
  • +Amu 3:7; 1Fa 11:7

1 Wafalme 14:23

Marejeo

  • +Kum 12:3
  • +Law 26:1; 2Fa 3:2
  • +2Fa 21:3
  • +Isa 65:7; Yer 2:20; Ho. 4:13
  • +Kum 12:2; 2Nya 28:4; Isa 57:5

1 Wafalme 14:24

Marejeo

  • +Kum 23:17; 1Fa 15:12; 22:46
  • +2Fa 23:7; Ho. 4:14

1 Wafalme 14:25

Marejeo

  • +1Fa 11:40; 2Nya 12:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 295

1 Wafalme 14:26

Marejeo

  • +1Fa 7:51; 15:18; 2Fa 18:15; 24:13
  • +2Nya 12:9; Zb 39:6
  • +1Fa 10:17; 2Nya 9:15

1 Wafalme 14:27

Marejeo

  • +1Sa 8:11; 22:17; 2Sa 15:1
  • +2Nya 12:10

1 Wafalme 14:28

Marejeo

  • +2Nya 12:11

1 Wafalme 14:29

Marejeo

  • +1Fa 11:41; 15:23; 1Nya 27:24; 2Nya 12:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    3/15/2009, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 3/15 32

1 Wafalme 14:30

Marejeo

  • +1Fa 12:24; 15:6

1 Wafalme 14:31

Marejeo

  • +1Fa 11:43; 15:24; 22:50
  • +1Fa 11:1; 2Nya 12:13
  • +1Nya 3:10; Mt 1:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Fal. 14:12Sa 12:15; 1Fa 14:12
1 Fal. 14:21Sa 28:8; 2Sa 14:2; 1Fa 22:30
1 Fal. 14:21Fa 12:15
1 Fal. 14:21Fa 11:31
1 Fal. 14:31Sa 9:7; 1Fa 13:7; 2Fa 4:42
1 Fal. 14:3Yer 19:1
1 Fal. 14:3Mwa 33:8; 2Fa 5:15
1 Fal. 14:32Fa 8:8
1 Fal. 14:4Yos 18:1; 1Sa 4:3; 1Fa 11:29; Yer 7:12
1 Fal. 14:4Mwa 27:1; 48:10; Kum 27:18; 1Sa 3:2; Zb 90:10; Mhu 12:3
1 Fal. 14:5Met 21:30; Yer 32:19; Lu 20:20; Ebr 4:13
1 Fal. 14:6Ayu 5:13; Zb 33:10
1 Fal. 14:71Fa 11:31; 12:20; 16:2
1 Fal. 14:81Fa 12:16
1 Fal. 14:81Fa 11:33; 15:5; Mdo 13:22
1 Fal. 14:9Kum 32:16; Zb 96:5; 115:4; Isa 44:9; Yer 10:14
1 Fal. 14:9Kum 27:15; 2Nya 11:15; Isa 41:29; 1Ko 8:4
1 Fal. 14:9Kum 9:8; Zb 78:40
1 Fal. 14:9Ne 9:26; Zb 50:17; Eze 23:35
1 Fal. 14:101Sa 25:34; 1Fa 16:11; 2Fa 9:8
1 Fal. 14:10Kum 32:36
1 Fal. 14:101Fa 15:29
1 Fal. 14:102Fa 21:13
1 Fal. 14:111Fa 16:4; 21:24
1 Fal. 14:111Sa 17:46; Yer 15:3; Ufu 19:21
1 Fal. 14:131Sa 25:1
1 Fal. 14:132Nya 12:12; Eze 18:14
1 Fal. 14:141Fa 15:29
1 Fal. 14:14Zb 103:10; Mhu 8:11; 2Pe 2:3
1 Fal. 14:151Sa 12:25; Yer 15:2
1 Fal. 14:15Kum 29:28; 2Fa 17:6; Mt 15:13
1 Fal. 14:15Kum 8:7; Yos 23:15
1 Fal. 14:15Kum 28:64; 2Fa 15:29; 18:11
1 Fal. 14:152Sa 8:3
1 Fal. 14:15Kum 12:3
1 Fal. 14:151Fa 14:9
1 Fal. 14:16Kum 28:63
1 Fal. 14:161Fa 12:30; 13:34; 14:9; Mt 18:7
1 Fal. 14:17Yos 12:24; 1Fa 15:33; 16:8
1 Fal. 14:192Nya 12:15; 13:3
1 Fal. 14:191Fa 15:31; 16:5; 22:39
1 Fal. 14:202Nya 13:20; Ayu 14:12
1 Fal. 14:201Fa 15:25
1 Fal. 14:211Fa 11:43; 2Nya 12:1
1 Fal. 14:211Fa 8:16; 11:36; 2Nya 12:13
1 Fal. 14:21Zb 78:68; 132:13
1 Fal. 14:21Kut 20:24; Kum 12:5
1 Fal. 14:211Fa 11:1; 2Nya 12:13
1 Fal. 14:22Amu 3:7; 2Fa 17:19; 2Nya 12:1; Yer 3:8
1 Fal. 14:22Kut 34:14; Kum 4:24; Zb 78:58; Isa 65:2; 1Ko 10:22
1 Fal. 14:22Amu 3:7; 1Fa 11:7
1 Fal. 14:23Kum 12:3
1 Fal. 14:23Law 26:1; 2Fa 3:2
1 Fal. 14:232Fa 21:3
1 Fal. 14:23Isa 65:7; Yer 2:20; Ho. 4:13
1 Fal. 14:23Kum 12:2; 2Nya 28:4; Isa 57:5
1 Fal. 14:24Kum 23:17; 1Fa 15:12; 22:46
1 Fal. 14:242Fa 23:7; Ho. 4:14
1 Fal. 14:251Fa 11:40; 2Nya 12:2
1 Fal. 14:261Fa 7:51; 15:18; 2Fa 18:15; 24:13
1 Fal. 14:262Nya 12:9; Zb 39:6
1 Fal. 14:261Fa 10:17; 2Nya 9:15
1 Fal. 14:271Sa 8:11; 22:17; 2Sa 15:1
1 Fal. 14:272Nya 12:10
1 Fal. 14:282Nya 12:11
1 Fal. 14:291Fa 11:41; 15:23; 1Nya 27:24; 2Nya 12:15
1 Fal. 14:301Fa 12:24; 15:6
1 Fal. 14:311Fa 11:43; 15:24; 22:50
1 Fal. 14:311Fa 11:1; 2Nya 12:13
1 Fal. 14:311Nya 3:10; Mt 1:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wafalme 14:1-31

1 Wafalme

14 Na wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa.+ 2 Kwa hiyo Yeroboamu akamwambia mke wake: “Tafadhali, ondoka, ujibadili sura,+ ili wasijue kuwa wewe ni mke wa Yeroboamu, uende Shilo. Tazama! Huko ndiko aliko Ahiya+ nabii. Yeye ndiye aliyesema kunihusu mimi habari za kuwa mfalme juu ya watu hawa.+ 3 Nawe uchukue mkononi mwako mikate+ kumi na keki zilizonyunyiziwa kitu na chupa+ ya asali, nawe uingie kwake.+ Yeye ndiye atakayekuambia litakalompata mvulana huyu.”+

4 Na mke wa Yeroboamu akafanya hivyo. Basi akaondoka na kwenda Shilo,+ akaja katika nyumba ya Ahiya. Basi Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa maana macho yake yalikuwa yameganda kwa sababu ya umri wake.+

5 Na Yehova alikuwa amemwambia Ahiya: “Tazama, mke wa Yeroboamu anakuja kuomba neno kutoka kwako kuhusu mwana wake; kwa maana ni mgonjwa. Umwambie hivi na hivi. Na itatukia kwamba mara tu atakapofika, atakuwa anajifanya asiweze kutambuliwa.”+

6 Na ikawa kwamba mara tu Ahiya aliposikia sauti ya miguu yake alipokuwa akija mlangoni, akaanza kusema: “Ingia, ewe mke wa Yeroboamu.+ Kwa nini unajifanya usitambuliwe, wakati mimi ninatumwa kwako na ujumbe mkali? 7 Nenda, mwambie Yeroboamu, ‘Yehova Mungu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu nilikusimamisha kutoka katikati ya watu wako, ili nikufanye kiongozi juu ya watu wangu Israeli,+ 8 nami nikaurarua+ ufalme kutoka katika nyumba ya Daudi na kukupa wewe, nawe hujawa kama mtumishi wangu Daudi, aliyeshika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote kwa kufanya yaliyokuwa sawa tu machoni pangu,+ 9 bali ukaanza kutenda vibaya zaidi kuliko wale wote waliokutangulia, nawe ukajitengenezea mungu mwingine+ na sanamu za kuyeyushwa+ ili kunitia uchungu,+ nawe umenitupa mimi nyuma ya mgongo wako;+ 10 kwa sababu hiyo tazama, nitaleta msiba juu ya nyumba ya Yeroboamu, nami kwa hakika nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu yeyote anayekojoa ukutani,+ asiye na uwezo na asiye na thamani katika Israeli;+ nami kwa kweli nitafagia kabisa nikiifuata nyumba ya Yeroboamu,+ kama vile mtu anavyoondoa mavi mpaka yanapokuwa yameondolewa.+ 11 Mtu yeyote wa Yeroboamu atakayekufa jijini, mbwa watamla;+ na yule atakayekufa shambani, ndege wa angani watamla,+ kwa sababu Yehova mwenyewe amesema hayo.”’

12 “Na wewe, ondoka, nenda nyumbani kwako. Miguu yako itakapoingia jijini huyo mtoto atakufa hakika. 13 Na Israeli wote kwa hakika watamwombolezea+ na kumzika, kwa sababu huyu peke yake wa Yeroboamu ndiye atakayezikwa kaburini; kwa maana jambo fulani jema kwa Yehova Mungu wa Israeli limeonekana ndani yake katika nyumba ya Yeroboamu.+ 14 Na hakika Yehova atajisimamishia mfalme+ juu ya Israeli atakayeikatilia mbali nyumba ya Yeroboamu siku ile iliyotajwa, na namna gani ikiwa ni sasa hivi?+ 15 Na kwa kweli Yehova atawapiga Israeli, kama vile tu tete linavyoyumba-yumba majini;+ naye atawang’oa+ Israeli kutoka katika nchi hii nzuri+ aliyowapa mababu zao, naye atawatawanya+ ng’ambo ya ule Mto,+ kwa sababu walitengeneza miti yao mitakatifu,+ na hivyo kumtia uchungu+ Yehova. 16 Naye atawatoa Israeli+ kwa sababu ya dhambi za Yeroboamu alizotenda na ambazo kupitia hizo alisababisha Israeli watende dhambi.”+

17 Ndipo mke wa Yeroboamu akaondoka, akaenda zake, akafika Tirsa.+ Alipokuwa akikaribia mlango wa nyumba, yule mvulana akafa. 18 Kwa hiyo wakamzika, na Israeli wote wakaanza kumwombolezea, kulingana na neno la Yehova alilosema kupitia mtumishi wake Ahiya nabii.

19 Na mambo mengine ya Yeroboamu, jinsi alivyopiga vita+ na jinsi alivyotawala, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli. 20 Na siku ambazo Yeroboamu alitawala zilikuwa miaka 22, kisha akalala pamoja na mababu zake;+ na Nadabu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

21 Naye Rehoboamu+ mwana wa Sulemani, alikuwa mfalme katika Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 17 katika Yerusalemu, jiji+ ambalo Yehova alichagua kutoka katika makabila+ yote ya Israeli ili kuweka humo jina lake.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama Mwamoni.+ 22 Na Yuda wakaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ hivi kwamba wakamchochea+ kuwa na wivu kuliko mambo yote ambayo mababu zao walikuwa wamefanya kwa dhambi zao ambazo walitenda.+ 23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+ 24 Na hata mwanamume kahaba wa hekaluni alikuwa katika nchi.+ Walitenda kulingana na machukizo yote ya mataifa ambao Yehova alikuwa amewafukuza mbele ya wana wa Israeli.+

25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki+ mfalme wa Misri akapanda kushambulia Yerusalemu. 26 Naye akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme;+ naye akachukua kila kitu.+ Naye akachukua ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+ 27 Basi Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake, akaziweka chini ya wakuu wa wakimbiaji,+ walinzi wa mlango wa nyumba ya mfalme.+ 28 Na ikawa ikitukia kwamba, kila mara mfalme akija katika nyumba ya Yehova, wakimbiaji walizichukua, nao walizirudisha katika chumba cha walinzi cha wakimbiaji.+

29 Na mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya nyakati za wafalme wa Yuda? 30 Na vita vikatokea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu sikuzote.+ 31 Mwishowe Rehoboamu akalala pamoja na mababu zake, akazikwa na mababu zake katika Jiji la Daudi.+ Na jina la mama yake lilikuwa Naama, Mwamoni.+ Na Abiyamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki