7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”
42 Na palikuwa na mtu aliyekuja kutoka Baal-shalisha,+ naye akamletea+ yule mtu wa Mungu wa kweli mkate wa matunda ya kwanza yaliyoiva,+ mikate 20 ya shayiri,+ na nafaka mpya katika mfuko wake wa mkate. Ndipo akasema: “Wape watu ili wale.”+