Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake: “Na tukienda, tutampelekea mtu huyo nini?+ kwa maana mkate umekwisha katika vyombo vyetu, wala hakuna zawadi+ yoyote ya kumpelekea huyo mtu wa Mungu wa kweli. Tuna nini pamoja nasi?”

  • 1 Wafalme 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na mfalme akaendelea kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Njoo pamoja nami twende nyumbani ule chakula,+ nami nikupe zawadi.”+

  • 2 Wafalme 4:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na palikuwa na mtu aliyekuja kutoka Baal-shalisha,+ naye akamletea+ yule mtu wa Mungu wa kweli mkate wa matunda ya kwanza yaliyoiva,+ mikate 20 ya shayiri,+ na nafaka mpya katika mfuko wake wa mkate. Ndipo akasema: “Wape watu ili wale.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki