Waamuzi 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Sasa Manoa akamwambia malaika wa Yehova: “Tafadhali, acha tukuzuilie, tukuandalie mwana-mbuzi.”+ Waamuzi 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.
21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.