8 Mwishowe Daudi akamwambia Uria: “Shuka, nenda nyumbani kwako, uoshe miguu yako.”+ Basi Uria akatoka katika nyumba ya mfalme, na zawadi ya fadhili ya mfalme ikaletwa nyuma yake.
44 Ndipo akamgeukia yule mwanamke na kumwambia Simoni: “Unamwona mwanamke huyu? Niliingia katika nyumba yako; wewe hukunipa maji+ kwa ajili ya miguu yangu. Lakini mwanamke huyu ameilowesha miguu yangu kwa machozi yake na kuyafuta kwa nywele zake.
10 mwenye kutolewa ushahidi juu ya matendo yaliyo mazuri,+ ikiwa alilea watoto,+ ikiwa alipokea wageni,+ ikiwa aliosha miguu ya watakatifu,+ ikiwa aliwasaidia wale walio katika dhiki,+ ikiwa alifuata kwa bidii kila tendo jema.+