1 Samweli 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mara moja akasimama, akainama kifudifudi,+ akasema: “Tazama, mimi ni kijakazi wako, niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu.”+ Yohana 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha akatia maji ndani ya beseni akaanza kuiosha miguu+ ya wanafunzi na kuikausha kwa kitambaa ambacho alikuwa amejifunga kiunoni. Yohana 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+
41 Mara moja akasimama, akainama kifudifudi,+ akasema: “Tazama, mimi ni kijakazi wako, niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu.”+
5 Kisha akatia maji ndani ya beseni akaanza kuiosha miguu+ ya wanafunzi na kuikausha kwa kitambaa ambacho alikuwa amejifunga kiunoni.
14 Kwa hiyo, ikiwa mimi, nijapokuwa Bwana na Mwalimu, niliiosha miguu yenu,+ ninyi pia mnapaswa kuoshana miguu.+