16 Ikiwa mwanamke yeyote mwamini ana wajane, acha yeye awasaidie wao,+ na acha kutaniko lisiwe chini ya mzigo huo. Ndipo liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kwelikweli.+
27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+