Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye Mlawi,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba na mjane,+ walio ndani ya malango yako, watakuja, nao watakula na kujishibisha; ili Yehova Mungu wako apate kukubariki+ katika kila tendo+ la mkono wako ambalo utafanya.

  • Kumbukumbu la Torati 27:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Amelaaniwa yule ambaye hupotosha+ hukumu+ ya mkaaji mgeni,+ mvulana asiye na baba na mjane.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Ayubu 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana nilikuwa nikimwokoa mwenye kuteseka anayelia apewe msaada,+

      Na mvulana asiye na baba na mtu yeyote ambaye hakuwa na msaidizi.+

  • Zaburi 68:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+

      Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki