Zaburi 72:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana atamkomboa maskini anayelilia msaada,+Pia mwenye kuteseka na yeyote ambaye hana msaidizi.+ Methali 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+ Methali 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakomboe wale wanaopelekwa kwenye kifo; na uwazuie wale wanaopepesuka wakielekea kuchinjwa.+
12 Kwa maana atamkomboa maskini anayelilia msaada,+Pia mwenye kuteseka na yeyote ambaye hana msaidizi.+
13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+