Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Jiangalie neno baya lisije likawa moyoni mwako,+ na kusema, ‘Mwaka wa saba, mwaka wa kuachilia huru, umekaribia,’+ nalo jicho lako likose ukarimu kumwelekea ndugu yako aliye maskini,+ nawe usimpe chochote, naye amlilie Yehova juu yako,+ nayo iwe dhambi kwako.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+

  • Methali 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Anayempa kitu maskini hatakuwa na uhitaji,+ lakini yeye anayeficha macho yake atapata laana nyingi.+

  • Yakobo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki