Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.

  • Kumbukumbu la Torati 15:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ikiwa mmoja wa ndugu zako atakuwa maskini kati yako katika moja la majiji yako, katika nchi yako ambayo Yehova Mungu wako anakupa, usiufanye moyo wako kuwa mgumu wala kuufunga mkono wako kumwelekea ndugu yako aliye maskini.+

  • Zaburi 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+

      Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+

  • Zaburi 112:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mtu mwenye neema+ na anayekopesha+ ni mwema.

      י [Yohdh]

      Yeye hutegemeza mambo yake kwa haki.+

  • 2 Timotheo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Bwana na aipe rehema nyumba ya Onesiforo,+ kwa sababu mara nyingi aliniletea kiburudisho,+ naye hakuionea aibu minyororo yangu.+

  • Waebrania 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki