Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana unapaswa kumfungulia mkono kwa ukarimu+ nawe umkopeshe kwa rehani kwa kadiri anayohitaji, kile anachopungukiwa.

  • Ayubu 31:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ikiwa nilikuwa nikiwanyima watu wa hali ya chini mapendezi yao,+

      Na kuyafanya macho ya mjane yaishiwe nguvu,+

  • Zaburi 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+

      Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+

  • Zaburi 41:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+

      Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+

  • Methali 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+

  • Methali 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+ na Yeye atamlipa matendo yake.+

  • Methali 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha kulalamika cha mtu wa hali ya chini,+ yeye mwenyewe ataita wala hatajibiwa.+

  • Luka 6:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Badala yake, endeleeni kuwapenda adui zenu na kutenda mema na kukopesha+ bila faida, bila kutumainia kurudishiwa chochote; na thawabu yenu itakuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Zaidi,+ kwa sababu yeye ni mwenye fadhili+ kuwaelekea wasio na shukrani na waovu.

  • Luka 23:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Na, tazama! mwanamume aliyeitwa Yosefu, ambaye alikuwa mshiriki wa Baraza, mtu mwema na mwadilifu+​—

  • Matendo 20:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimewaonyesha ninyi wazi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi+ kwa bidii hivyo ni lazima mwasaidie wale walio dhaifu,+ na lazima myakumbuke maneno ya Bwana Yesu, aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’ ”

  • Waebrania 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema+ na kushiriki vitu pamoja na wengine, kwa maana Mungu hupendezwa vema na dhabihu za namna hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki