Kutoka 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+ Mambo ya Walawi 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Hutampa pesa zako kwa faida,+ wala hutampa chakula chako kwa riba. Kumbukumbu la Torati 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Unaweza kumlipiza mgeni+ faida, lakini ndugu yako usimfanye alipe faida;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zako zote katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+ Zaburi 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anaonyesha kibali na kukopesha mchana kutwa,+Na kwa hiyo wazao wake watapata baraka.+
25 “Ukiwakopesha watu wangu pesa, mwenye kuteseka aliye kando yako,+ usiwe kwake kama mla-riba. Msimtoze faida.+
20 Unaweza kumlipiza mgeni+ faida, lakini ndugu yako usimfanye alipe faida;+ ili Yehova Mungu wako akubariki katika kazi zako zote katika nchi ambayo unaenda kuimiliki.+