Mambo ya Walawi 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.
35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe.