Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 25:2

Marejeo

  • +Mwa 15:16; Kum 32:8; Zb 24:1
  • +Law 26:34; 2Nya 36:21

Mambo ya Walawi 25:3

Marejeo

  • +Kut 23:10

Mambo ya Walawi 25:4

Marejeo

  • +Kut 23:11; Law 26:34

Mambo ya Walawi 25:9

Marejeo

  • +Hes 10:2, 10
  • +Law 23:27
  • +Law 16:30; 23:28

Mambo ya Walawi 25:10

Marejeo

  • +Zb 146:7; Isa 61:1; 63:4; Yer 34:8; Lu 4:18; Ro 8:21
  • +Law 27:17, 24
  • +Law 25:13; Hes 36:4; Kum 15:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2019, kur. 8-9

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2025-2026

    Mnara wa Mlinzi

    Amani na Usalama, kur. 99-100

Mambo ya Walawi 25:11

Marejeo

  • +Mt 12:8, 12; Ro 8:21
  • +Law 25:5

Mambo ya Walawi 25:12

Marejeo

  • +Kut 23:11; Law 25:6

Mambo ya Walawi 25:13

Marejeo

  • +Law 25:30; 27:24

Mambo ya Walawi 25:14

Marejeo

  • +1Sa 12:3; Met 14:31; Amo 5:11; Mik 2:2; 1Ko 6:8

Mambo ya Walawi 25:15

Marejeo

  • +Law 27:18

Mambo ya Walawi 25:16

Marejeo

  • +Law 27:23

Mambo ya Walawi 25:17

Marejeo

  • +Law 19:13; Met 22:22; Yer 7:6
  • +Mwa 20:11; 22:12; Law 25:43; 1Sa 12:24; Ne 5:9; Met 1:7; 8:13; Mdo 9:31
  • +Isa 33:22

Mambo ya Walawi 25:18

Marejeo

  • +Kum 12:10; Zb 4:8; Met 1:33

Mambo ya Walawi 25:19

Marejeo

  • +Law 26:5; Zb 67:6; Eze 34:27; Yoe 2:24
  • +Eze 34:25

Mambo ya Walawi 25:20

Marejeo

  • +Law 25:5; Mt 6:25

Mambo ya Walawi 25:21

Marejeo

  • +Mwa 26:12; Kum 28:8; Mal 3:10

Mambo ya Walawi 25:23

Marejeo

  • +1Fa 21:3; Eze 48:14
  • +2Nya 7:20; Zb 24:1; 85:1; Yoe 2:18
  • +1Nya 29:15; Zb 39:12; 1Pe 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2011, uku. 17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w11 11/15 17

Mambo ya Walawi 25:24

Marejeo

  • +Law 25:51

Mambo ya Walawi 25:25

Marejeo

  • +Ru 2:20; 4:4, 6; Yer 32:7

Mambo ya Walawi 25:27

Marejeo

  • +Law 25:50

Mambo ya Walawi 25:28

Marejeo

  • +Law 25:10, 13; 27:24
  • +Law 25:10

Mambo ya Walawi 25:29

Marejeo

  • +Law 25:25, 51

Mambo ya Walawi 25:31

Marejeo

  • +Law 25:48
  • +Law 25:10

Mambo ya Walawi 25:32

Marejeo

  • +Hes 35:2, 8; Yos 21:2
  • +Yer 32:8

Mambo ya Walawi 25:33

Marejeo

  • +Law 25:28
  • +Hes 18:20; 35:4; Kum 18:1

Mambo ya Walawi 25:34

Marejeo

  • +Hes 35:7; Yos 14:4; 21:2

Mambo ya Walawi 25:35

Marejeo

  • +Law 25:25; Kum 15:7; Zb 41:1; Met 14:20; 17:5; 19:17; Mk 14:7
  • +Zb 37:26; 112:5; Met 3:27; 14:31; Lu 6:35; Mdo 11:29; 1Ti 6:18; 1Yo 3:17
  • +Kut 22:21; 23:9; Law 19:34; Kum 10:18

Mambo ya Walawi 25:36

Marejeo

  • +Kut 22:25; Kum 23:19; Ne 5:7; Zb 15:5; Met 28:8; Eze 18:13
  • +Zb 89:7; Met 8:13; Ebr 12:28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 25:37

Marejeo

  • +Kum 23:20; Ne 5:10; Lu 6:35

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2004, uku. 24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w04 5/15 24

Mambo ya Walawi 25:38

Marejeo

  • +Kut 20:2; 1Fa 8:51
  • +Kut 6:7; Hes 15:41

Mambo ya Walawi 25:39

Marejeo

  • +Kut 21:2; Kum 15:12; 2Fa 4:1; Ne 5:5
  • +Kut 1:14

Mambo ya Walawi 25:40

Marejeo

  • +Law 25:53; 1Fa 9:22

Mambo ya Walawi 25:41

Marejeo

  • +Kut 21:3; Law 25:10

Mambo ya Walawi 25:42

Marejeo

  • +Kut 19:5; Law 25:55

Mambo ya Walawi 25:43

Marejeo

  • +Kut 1:13; 3:7; Isa 47:6; Efe 6:9; Kol 4:1
  • +Kut 1:17; Law 25:17; Mhu 12:13

Mambo ya Walawi 25:45

Marejeo

  • +Kut 12:38; Yos 9:21

Mambo ya Walawi 25:46

Marejeo

  • +Isa 14:2
  • +Law 25:39, 43

Mambo ya Walawi 25:48

Marejeo

  • +Ne 5:5
  • +Law 25:25
  • +Ne 5:8

Mambo ya Walawi 25:49

Marejeo

  • +Ru 2:20
  • +Law 25:26; 1Ko 7:21

Mambo ya Walawi 25:50

Marejeo

  • +Law 25:10, 16
  • +Law 25:27
  • +Kum 15:18; Isa 16:14; 21:16

Mambo ya Walawi 25:52

Marejeo

  • +Law 25:16; 27:18

Mambo ya Walawi 25:53

Marejeo

  • +Law 25:40
  • +Law 25:43; Kol 4:1

Mambo ya Walawi 25:54

Marejeo

  • +Kut 21:3; Law 25:40

Mambo ya Walawi 25:55

Marejeo

  • +Law 25:42
  • +Kut 13:3; 20:2; Lu 1:74
  • +Kum 1:21; Yos 1:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 25:2Mwa 15:16; Kum 32:8; Zb 24:1
Law. 25:2Law 26:34; 2Nya 36:21
Law. 25:3Kut 23:10
Law. 25:4Kut 23:11; Law 26:34
Law. 25:9Hes 10:2, 10
Law. 25:9Law 23:27
Law. 25:9Law 16:30; 23:28
Law. 25:10Zb 146:7; Isa 61:1; 63:4; Yer 34:8; Lu 4:18; Ro 8:21
Law. 25:10Law 27:17, 24
Law. 25:10Law 25:13; Hes 36:4; Kum 15:1
Law. 25:11Mt 12:8, 12; Ro 8:21
Law. 25:11Law 25:5
Law. 25:12Kut 23:11; Law 25:6
Law. 25:13Law 25:30; 27:24
Law. 25:141Sa 12:3; Met 14:31; Amo 5:11; Mik 2:2; 1Ko 6:8
Law. 25:15Law 27:18
Law. 25:16Law 27:23
Law. 25:17Law 19:13; Met 22:22; Yer 7:6
Law. 25:17Mwa 20:11; 22:12; Law 25:43; 1Sa 12:24; Ne 5:9; Met 1:7; 8:13; Mdo 9:31
Law. 25:17Isa 33:22
Law. 25:18Kum 12:10; Zb 4:8; Met 1:33
Law. 25:19Law 26:5; Zb 67:6; Eze 34:27; Yoe 2:24
Law. 25:19Eze 34:25
Law. 25:20Law 25:5; Mt 6:25
Law. 25:21Mwa 26:12; Kum 28:8; Mal 3:10
Law. 25:231Fa 21:3; Eze 48:14
Law. 25:232Nya 7:20; Zb 24:1; 85:1; Yoe 2:18
Law. 25:231Nya 29:15; Zb 39:12; 1Pe 2:11
Law. 25:24Law 25:51
Law. 25:25Ru 2:20; 4:4, 6; Yer 32:7
Law. 25:27Law 25:50
Law. 25:28Law 25:10, 13; 27:24
Law. 25:28Law 25:10
Law. 25:29Law 25:25, 51
Law. 25:31Law 25:48
Law. 25:31Law 25:10
Law. 25:32Hes 35:2, 8; Yos 21:2
Law. 25:32Yer 32:8
Law. 25:33Law 25:28
Law. 25:33Hes 18:20; 35:4; Kum 18:1
Law. 25:34Hes 35:7; Yos 14:4; 21:2
Law. 25:35Law 25:25; Kum 15:7; Zb 41:1; Met 14:20; 17:5; 19:17; Mk 14:7
Law. 25:35Zb 37:26; 112:5; Met 3:27; 14:31; Lu 6:35; Mdo 11:29; 1Ti 6:18; 1Yo 3:17
Law. 25:35Kut 22:21; 23:9; Law 19:34; Kum 10:18
Law. 25:36Kut 22:25; Kum 23:19; Ne 5:7; Zb 15:5; Met 28:8; Eze 18:13
Law. 25:36Zb 89:7; Met 8:13; Ebr 12:28
Law. 25:37Kum 23:20; Ne 5:10; Lu 6:35
Law. 25:38Kut 20:2; 1Fa 8:51
Law. 25:38Kut 6:7; Hes 15:41
Law. 25:39Kut 21:2; Kum 15:12; 2Fa 4:1; Ne 5:5
Law. 25:39Kut 1:14
Law. 25:40Law 25:53; 1Fa 9:22
Law. 25:41Kut 21:3; Law 25:10
Law. 25:42Kut 19:5; Law 25:55
Law. 25:43Kut 1:13; 3:7; Isa 47:6; Efe 6:9; Kol 4:1
Law. 25:43Kut 1:17; Law 25:17; Mhu 12:13
Law. 25:45Kut 12:38; Yos 9:21
Law. 25:46Isa 14:2
Law. 25:46Law 25:39, 43
Law. 25:48Ne 5:5
Law. 25:48Law 25:25
Law. 25:48Ne 5:8
Law. 25:49Ru 2:20
Law. 25:49Law 25:26; 1Ko 7:21
Law. 25:50Law 25:10, 16
Law. 25:50Law 25:27
Law. 25:50Kum 15:18; Isa 16:14; 21:16
Law. 25:52Law 25:16; 27:18
Law. 25:53Law 25:40
Law. 25:53Law 25:43; Kol 4:1
Law. 25:54Kut 21:3; Law 25:40
Law. 25:55Law 25:42
Law. 25:55Kut 13:3; 20:2; Lu 1:74
Law. 25:55Kum 1:21; Yos 1:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 25:1-55

Mambo ya Walawi

25 Na Yehova akazidi kusema na Musa kwenye Mlima Sinai, na kumwambia: 2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mwishowe mtakapoingia katika nchi nitakayowapa ninyi,+ ndipo nchi hiyo itakaposhika sabato kwa Yehova.+ 3 Miaka sita utapanda mbegu katika shamba lako, na miaka sita utakata matawi ya shamba lako la mizabibu, nawe utakusanya mazao ya nchi.+ 4 Lakini katika mwaka wa saba kutakuwa na sabato ya pumziko kamili kwa ajili ya nchi hiyo,+ sabato kwa Yehova. Shamba lako hutalipanda mbegu, nalo shamba lako la mizabibu hutalikata matawi. 5 Mimea inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka za mavuno yako hutavuna, na zabibu za mzabibu wako ambao haujakatwa matawi usikusanye. Kutakuwa na mwaka wa pumziko kamili kwa ajili ya nchi. 6 Nayo sabato ya nchi itakuwa chakula kwa ajili yenu, kwa ajili yako na mtumwa wako na kijakazi wako na mfanyakazi wako wa kukodiwa na mkaaji anayekaa pamoja nawe, wale wanaokaa wakiwa wakaaji wageni pamoja nawe, 7 na kwa ajili ya mnyama wako wa kufugwa na mnyama-mwitu aliye katika nchi yako. Mazao yake yote yatakuwa ndiyo chakula.

8 “‘Nawe utajihesabia sabato 7 za miaka, miaka 7 mara 7, na siku za sabato 7 za miaka zitakuwa miaka 49 kwa ajili yako. 9 Nawe utafanya baragumu ya sauti+ kubwa ivume katika mwezi wa saba siku ya kumi ya mwezi huo;+ katika siku ya upatanisho+ mtaifanya baragumu hiyo ivume katika nchi yenu yote. 10 Nanyi mtautakasa mwaka wa 50 na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakaaji wake wote.+ Itakuwa Yubile+ kwenu, nanyi mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake nanyi mtarudi kila mmoja kwa familia yake.+ 11 Mwaka wa 50 utakuwa Yubile kwenu.+ Hamtapanda mbegu wala kuvuna mimea ya nchi inayochipuka kutokana na mbegu zilizoanguka wala kukusanya zabibu kutoka katika mizabibu ambayo haijakatwa matawi.+ 12 Kwa maana huo ni Yubile. Utakuwa kitu kitakatifu kwenu. Mnaweza kula kutoka shambani kile ambacho nchi inazaa.+

13 “‘Katika mwaka huu wa Yubile mtarudi kila mmoja kwenye miliki yake.+ 14 Sasa ikiwa mtamuuzia mwenzenu mali au kununua kutoka katika mkono wa mwenzenu, msikoseane.+ 15 Kwa hesabu ya miaka iliyo baada ya Yubile utanunua kutoka kwa mwenzako; kwa hesabu ya miaka ya mazao atakuuzia.+ 16 Kulingana na hesabu kubwa ya miaka ataongeza thamani yake ya ununuzi,+ na kulingana na uchache wa miaka atapunguza thamani yake ya ununuzi, kwa sababu hesabu ya mazao ndiyo anayokuuzia. 17 Na mtu yeyote kati yenu asimkosee mwenzake,+ nawe umwogope Mungu wako,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.+ 18 Kwa hiyo mtazishika sheria zangu na kufuata maamuzi yangu ya hukumu na kuyatenda. Ndipo mtakapokaa katika nchi hiyo kwa usalama.+ 19 Nayo nchi itatoa mazao yake,+ nanyi mtakula na kushiba na kukaa kwa usalama juu yake.+

20 “‘Lakini ikiwa mtasema: “Tutakula nini katika mwaka wa saba kwa kuwa huenda tusipande mbegu wala kukusanya mazao yetu?”+ 21 ndipo hakika nitaamuru baraka zangu kwa ajili yenu katika mwaka wa sita, nayo itatoa mazao yake kwa ajili ya miaka mitatu.+ 22 Nanyi mtapanda mbegu mwaka wa nane na mtakula kutokana na mazao ya zamani mpaka mwaka wa tisa. Mtakula yale ya zamani mpaka mazao yake yaingie.

23 “‘Kwa hiyo nchi haitauzwa milele,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wakaaji wageni na wahamiaji kwa maoni yangu.+ 24 Na katika nchi yenu yote mnayoimiliki mtaipa nchi haki ya kununuliwa na kurudishwa.+

25 “‘Ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na alazimike kuuza sehemu ya miliki yake, mkombozi wa jamaa yake ya karibu atakuja pia na kununua na kurudisha kile ambacho ndugu yake aliuza.+ 26 Na ikiwa mtu yeyote hatakuwa na mkombozi nao mkono wake mwenyewe upate faida naye apate kiasi cha kutosha kuikomboa, 27 pia atahesabu miaka tangu alipoiuza naye atarudisha pesa zinazosalia kwa mtu aliyemuuzia, naye atarudi kwenye miliki yake.+

28 “‘Lakini ikiwa mkono wake haupati kiasi cha kutosha kumrudishia, alichokiuza kitaendelea kuwa mkononi mwa mnunuzi wake mpaka mwaka wa Yubile;+ nacho kitarudishwa katika Yubile, naye atarudi katika miliki yake.+

29 “‘Sasa ikiwa mtu atauza nyumba ya kukaa katika jiji lenye ukuta, haki yake ya kuikomboa itaendelea pia mpaka mwaka umalizike tangu alipoiuza; haki yake ya kukomboa+ itaendelea kwa mwaka mzima. 30 Lakini ikiwa haitanunuliwa na kurudishwa kabla ya ule mwaka mzima kutimia kwa ajili yake, nyumba hiyo iliyo katika jiji lenye ukuta itasimama milele ikiwa mali ya mnunuzi katika vizazi vyake. Haitarudishwa katika Yubile. 31 Hata hivyo, nyumba za makao ambayo hayana ukuta kuyazunguka zitahesabiwa kama sehemu ya mashamba ya nchi. Haki ya kukomboa+ itaendelea kwa ajili yake, na katika Yubile+ itarudishwa.

32 “‘Na kuhusu majiji ya Walawi pamoja na nyumba za majiji ya miliki yao,+ haki ya kukomboa itaendelea mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya Walawi.+ 33 Na mahali ambapo mali ya Walawi hainunuliwi tena, nyumba iliyouzwa katika jiji la miliki yake itatoka pia katika Yubile;+ kwa sababu nyumba za majiji ya Walawi ni miliki yao katikati ya wana wa Israeli.+ 34 Tena, kiwanja cha malisho+ cha majiji yao kisiuzwe, kwa sababu hicho ni miliki mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao.

35 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini na kwa hiyo ni dhaifu kifedha karibu nawe,+ utamtegemeza pia.+ Kama mkaaji mgeni na kama mhamiaji,+ ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe. 36 Usichukue faida na riba kutoka kwake,+ lakini umwogope Mungu wako;+ naye ndugu yako ataendelea kukaa akiwa hai pamoja nawe. 37 Hutampa pesa zako kwa faida,+ wala hutampa chakula chako kwa riba. 38 Mimi ni Yehova Mungu wenu, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri ili kuwapa nchi ya Kanaani,+ ili nijionyeshe kuwa Mungu wenu.+

39 “‘Na ikiwa ndugu yako atakuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwako,+ usimtumie kama mfanyakazi katika utumishi wa kitumwa.+ 40 Atakuwa pamoja nawe kama mfanyakazi wa kukodiwa,+ kama mhamiaji. Atakutumikia mpaka mwaka wa Yubile. 41 Naye ataondoka kwako, yeye na wanawe pamoja naye, naye atarudi kwa familia yake, naye atarudi kwa miliki ya mababu zake.+ 42 Kwa maana wao ni watumwa wangu niliowatoa kutoka katika nchi ya Misri.+ Hawatajiuza kama vile mtumwa anavyouzwa. 43 Hutamkanyagia chini kwa uonevu,+ nawe utamwogopa Mungu wako.+ 44 Na kuhusu mtumwa wako na kijakazi wako atakayekuwa wako kutoka katika mataifa yanayowazunguka ninyi, kutoka kwao ninyi mnaweza kununua mtumwa au kijakazi. 45 Na pia kutoka kwa wana wa wahamiaji wanaokaa wakiwa wageni pamoja nanyi,+ kutoka kwao mnaweza kuwanunua, na kutoka katika familia zao zilizo pamoja nanyi, waliozaliwa kwao katika nchi yenu; nao watakuwa miliki yenu. 46 Nanyi mtawapitisha wawe urithi kwa wana wenu baada yenu ili wawarithi kama miliki mpaka wakati usio na kipimo.+ Mnaweza kuwatumia kama wafanyakazi, lakini juu ya ndugu zenu wana wa Israeli, msikanyagane, kwa uonevu.+

47 “‘Lakini ikiwa mkono wa mkaaji mgeni au mhamiaji aliye pamoja nawe utakuwa na mali, na ndugu yako amekuwa maskini karibu nawe naye alazimike kujiuza kwa mkaaji mgeni au mhamiaji aliye pamoja nawe, au kwa mshiriki wa familia ya huyo mkaaji mgeni, 48 baada ya kujiuza mwenyewe,+ haki ya kukomboa itaendelea katika kisa chake.+ Mmoja wa ndugu zake anaweza kumnunua.+ 49 Au ndugu ya baba yake au mwana wa ndugu ya baba yake anaweza kumnunua, au mtu wa jamaa yake ya kimwili mwenye uhusiano wa damu,+ mtu wa familia yake, anaweza kumnunua tena.

“‘Au ikiwa mkono wake mwenyewe umepata mali, basi mwenyewe atajinunua.+ 50 Naye atafanya hesabu na mnunuzi wake tangu mwaka aliojiuza mpaka mwaka wa Yubile,+ na pesa za ununuzi wake zitalingana na hesabu ya miaka.+ Ataendelea kuwa pamoja naye jinsi ambavyo siku za kazi za mfanyakazi wa kukodiwa huhesabiwa.+ 51 Ikiwa bado kuna miaka mingi, atalipa bei yake ya ukombozi kulingana nayo kutoka katika pesa zake za ununuzi. 52 Lakini ikiwa ni miaka michache tu inayobaki mpaka mwaka wa Yubile,+ basi mwenyewe atajipigia hesabu. Kulingana na miaka yake atalipa bei yake ya ukombozi. 53 Ataendelea kuwa pamoja naye kama mfanyakazi wa kukodiwa+ mwaka baada ya mwaka. Hatamkanyagia chini kwa uonevu+ mbele ya macho yako. 54 Hata hivyo, ikiwa hawezi kujinunua kwa masharti hayo, atatoka katika mwaka wa Yubile,+ yeye na wanawe pamoja naye.

55 “‘Kwa maana wana wa Israeli ni watumwa wangu.+ Wao ni watumwa wangu niliowatoa katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki