2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+
8 Majiji mtakayotoa yatatoka katika miliki ya wana wa Israeli.+ Kutoka kwa wengi mtachukua mengi, na kutoka kwa wachache mtachukua machache.+ Kila mmoja kulingana na urithi wake atakaochukua uwe miliki, atawapa Walawi sehemu ya majiji yake.”
2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+