Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+

  • Hesabu 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Majiji mtakayotoa yatatoka katika miliki ya wana wa Israeli.+ Kutoka kwa wengi mtachukua mengi, na kutoka kwa wachache mtachukua machache.+ Kila mmoja kulingana na urithi wake atakaochukua uwe miliki, atawapa Walawi sehemu ya majiji yake.”

  • Yoshua 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki