Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Tena, kiwanja cha malisho+ cha majiji yao kisiuzwe, kwa sababu hicho ni miliki mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili yao.

  • Hesabu 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Wape wana wa Israeli amri ya kwamba lazima wawape Walawi majiji+ wakae humo kutoka katika urithi wa miliki yao, nao watawapa Walawi kiwanja cha malisho cha majiji kuzunguka pande zote.+

  • Hesabu 35:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na viwanja vya malisho vya majiji hayo, ambayo mtawapa Walawi, vitakuwa kutoka katika ukuta wa jiji kuelekea nje kipimo cha mikono elfu moja kuzunguka pande zote.

  • Yoshua 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Hivyo wana wa Israeli wakawapa Walawi+ majiji hayo pamoja na viwanja vyake vya malisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki