4 Kwa maana wana wa Yosefu walikuwa wamekuwa makabila mawili,+ Manase+ na Efraimu;+ nao hawakuwa wamewapa Walawi fungu katika nchi, isipokuwa majiji+ ya kukaa na viwanja vyao vya malisho kwa ajili ya mifugo yao na mali zao.+
2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+