Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Majiji yote mtakayowapa Walawi yatakuwa majiji 48, hayo pamoja na viwanja vyake vyote vya malisho.+

  • Yoshua 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Na haya ndiyo yaliyokuwa makao yao kulingana na kambi zao zilizozungushiwa ukuta katika eneo lao,+ kwa ajili ya wana wa Haruni wa familia ya Wakohathi,+ kwa maana kura ilikuwa imekuwa yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki