Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 6:1

Marejeo

  • +Mwa 29:34; Kut 6:16
  • +Hes 3:17; 1Nya 6:16
  • +Kut 6:18; Hes 3:27
  • +Hes 26:57

1 Mambo ya Nyakati 6:2

Marejeo

  • +1Nya 23:13
  • +Kut 6:21
  • +1Nya 15:9; 26:30
  • +Kut 6:22; Law 10:4; 1Nya 15:10

1 Mambo ya Nyakati 6:3

Marejeo

  • +Kut 6:20
  • +1Nya 23:13
  • +Kut 6:26; Mdo 7:38; Ebr 3:2
  • +Kut 2:4; 15:20; Hes 12:10
  • +Kut 6:23; 24:1; Law 10:1
  • +Kut 28:1; 1Nya 24:2
  • +Hes 3:32; Kum 10:6
  • +Hes 4:28; 1Nya 24:4

1 Mambo ya Nyakati 6:4

Marejeo

  • +Kut 6:25
  • +Hes 25:11; 1Nya 9:20; Zb 106:30
  • +Ezr 7:5

1 Mambo ya Nyakati 6:5

Marejeo

  • +Ezr 7:4

1 Mambo ya Nyakati 6:6

Marejeo

  • +Ezr 7:3

1 Mambo ya Nyakati 6:7

Marejeo

  • +2Sa 8:17

1 Mambo ya Nyakati 6:8

Marejeo

  • +2Sa 15:27; 20:25; 1Fa 1:8; 2:35
  • +2Sa 15:36; 17:17; 18:19

1 Mambo ya Nyakati 6:10

Marejeo

  • +2Nya 26:20

1 Mambo ya Nyakati 6:11

Marejeo

  • +Ezr 7:3
  • +Ezr 7:2

1 Mambo ya Nyakati 6:12

Marejeo

  • +Ne 11:11

1 Mambo ya Nyakati 6:13

Marejeo

  • +2Nya 34:14

1 Mambo ya Nyakati 6:14

Marejeo

  • +2Fa 25:18
  • +Hag 1:1

1 Mambo ya Nyakati 6:16

Marejeo

  • +Kut 6:16

1 Mambo ya Nyakati 6:17

Marejeo

  • +Hes 3:18
  • +1Nya 23:7

1 Mambo ya Nyakati 6:18

Marejeo

  • +1Nya 6:2
  • +Kut 6:20; 1Nya 23:13
  • +Kut 6:22; Hes 3:19

1 Mambo ya Nyakati 6:19

Marejeo

  • +Hes 3:20; 1Nya 23:21
  • +Hes 26:57

1 Mambo ya Nyakati 6:20

Marejeo

  • +Hes 3:18

1 Mambo ya Nyakati 6:21

Marejeo

  • +2Nya 29:12

1 Mambo ya Nyakati 6:22

Marejeo

  • +Hes 16:1, 32; 26:10; Yud 11

1 Mambo ya Nyakati 6:23

Marejeo

  • +Kut 6:24

1 Mambo ya Nyakati 6:25

Marejeo

  • +1Nya 6:36

1 Mambo ya Nyakati 6:26

Marejeo

  • +1Nya 6:35

1 Mambo ya Nyakati 6:27

Marejeo

  • +1Nya 6:34
  • +1Sa 1:1

1 Mambo ya Nyakati 6:28

Marejeo

  • +1Sa 1:20
  • +1Sa 8:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 85

1 Mambo ya Nyakati 6:29

Marejeo

  • +Kut 6:19; Hes 3:33; 1Nya 23:21

1 Mambo ya Nyakati 6:31

Marejeo

  • +1Nya 15:16
  • +2Sa 6:17; Zb 132:14

1 Mambo ya Nyakati 6:32

Marejeo

  • +1Nya 16:4, 37
  • +1Nya 16:42; Zb 68:25
  • +1Fa 6:14
  • +2Nya 35:15; Ezr 3:10; 1Ko 14:40

1 Mambo ya Nyakati 6:33

Marejeo

  • +1Nya 15:19; 16:41; 25:1; 2Nya 5:12
  • +1Sa 8:2; 1Nya 6:28
  • +1Sa 1:20; 8:1

1 Mambo ya Nyakati 6:34

Marejeo

  • +1Sa 1:19
  • +1Nya 6:27

1 Mambo ya Nyakati 6:35

Marejeo

  • +1Sa 1:1; 1Nya 6:26

1 Mambo ya Nyakati 6:37

Marejeo

  • +Kut 6:24
  • +Hes 26:11; Zb 42:utangulizi

1 Mambo ya Nyakati 6:38

Marejeo

  • +Hes 3:19

1 Mambo ya Nyakati 6:39

Marejeo

  • +1Nya 25:1; 2Nya 5:12; 29:30; Zb 50:utangulizi
  • +1Nya 15:17

1 Mambo ya Nyakati 6:43

Marejeo

  • +1Nya 6:20
  • +Kut 6:16

1 Mambo ya Nyakati 6:44

Marejeo

  • +1Nya 23:6
  • +1Nya 15:19
  • +1Nya 15:17

1 Mambo ya Nyakati 6:47

Marejeo

  • +Hes 3:20
  • +Kut 6:16

1 Mambo ya Nyakati 6:48

Marejeo

  • +1Nya 23:2; 26:20
  • +Hes 3:7; 16:9; 1Pe 4:10

1 Mambo ya Nyakati 6:49

Marejeo

  • +Kut 28:1; Hes 3:10
  • +Efe 5:2
  • +Kut 29:38; Law 9:2
  • +Kut 30:7; 2Nya 26:18
  • +Kut 30:10; 2Nya 29:24
  • +Law 4:20; 17:11; Hes 15:25

1 Mambo ya Nyakati 6:50

Marejeo

  • +Kut 6:23
  • +Kut 28:1; Hes 3:32
  • +1Nya 6:4; 9:20
  • +Ezr 7:5

1 Mambo ya Nyakati 6:51

Marejeo

  • +Ezr 7:4

1 Mambo ya Nyakati 6:52

Marejeo

  • +Ezr 7:3
  • +2Sa 8:17

1 Mambo ya Nyakati 6:53

Marejeo

  • +2Sa 15:27; 1Fa 1:8; 2:35
  • +2Sa 17:17

1 Mambo ya Nyakati 6:54

Marejeo

  • +Yos 21:3
  • +Yos 21:5

1 Mambo ya Nyakati 6:55

Marejeo

  • +Hes 13:22; Yos 21:11

1 Mambo ya Nyakati 6:56

Marejeo

  • +Law 25:31
  • +Kum 1:36; Yos 14:13; Amu 1:20
  • +Yos 21:12

1 Mambo ya Nyakati 6:57

Marejeo

  • +Hes 35:13
  • +Yos 20:7; 21:13
  • +Yos 15:42; 21:13
  • +Yos 15:48; 1Sa 30:27
  • +Yos 21:14

1 Mambo ya Nyakati 6:58

Marejeo

  • +Yos 15:51; 21:15
  • +Yos 15:15; Amu 1:11

1 Mambo ya Nyakati 6:59

Marejeo

  • +Yos 21:16; 1Nya 4:32
  • +Yos 15:10; 1Sa 6:12

1 Mambo ya Nyakati 6:60

Marejeo

  • +Yos 18:24; 21:17
  • +Yos 21:18
  • +1Fa 2:26; Isa 10:30; Yer 1:1
  • +Yos 21:4

1 Mambo ya Nyakati 6:61

Marejeo

  • +Yos 21:5

1 Mambo ya Nyakati 6:62

Marejeo

  • +1Nya 6:17
  • +Yos 21:28
  • +Yos 21:30
  • +Yos 21:32
  • +Yos 21:27

1 Mambo ya Nyakati 6:63

Marejeo

  • +Yos 21:40
  • +Yos 21:36
  • +Yos 21:38
  • +Yos 21:34

1 Mambo ya Nyakati 6:64

Marejeo

  • +Yos 21:41
  • +Hes 35:4

1 Mambo ya Nyakati 6:65

Marejeo

  • +1Nya 6:57, 58
  • +Yos 19:1
  • +1Nya 6:60

1 Mambo ya Nyakati 6:66

Marejeo

  • +Yos 21:20

1 Mambo ya Nyakati 6:67

Marejeo

  • +Yos 20:7; Amu 9:1, 45; 1Fa 12:1
  • +Yos 16:10; 21:21

1 Mambo ya Nyakati 6:68

Marejeo

  • +Yos 21:22
  • +Yos 10:11; 16:5; 21:22

1 Mambo ya Nyakati 6:69

Marejeo

  • +Yos 10:12; 21:24; Amu 1:35; 2Nya 28:18
  • +Yos 19:45; 21:24

1 Mambo ya Nyakati 6:70

Marejeo

  • +Yos 21:25
  • +Yos 17:11; 2Fa 9:27
  • +Yos 21:26

1 Mambo ya Nyakati 6:71

Marejeo

  • +Yos 21:27
  • +Kum 4:43; Yos 20:8
  • +Kum 1:4

1 Mambo ya Nyakati 6:72

Marejeo

  • +Yos 21:28
  • +Yos 19:12

1 Mambo ya Nyakati 6:73

Marejeo

  • +Yos 21:29
  • +Yos 21:29

1 Mambo ya Nyakati 6:74

Marejeo

  • +Yos 21:30

1 Mambo ya Nyakati 6:75

Marejeo

  • +Yos 19:25; 21:31
  • +Yos 19:28; Amu 1:31

1 Mambo ya Nyakati 6:76

Marejeo

  • +Yos 21:32
  • +Yos 20:7; Amu 4:6
  • +Mt 3:13
  • +Yos 21:32

1 Mambo ya Nyakati 6:77

Marejeo

  • +Yos 21:34
  • +Yos 19:13; 21:35

1 Mambo ya Nyakati 6:78

Marejeo

  • +Yos 21:36
  • +Kum 4:43; Yos 20:8
  • +Hes 21:23; Yos 13:18

1 Mambo ya Nyakati 6:79

Marejeo

  • +Kum 2:26; Yos 13:18
  • +Yos 21:37

1 Mambo ya Nyakati 6:80

Marejeo

  • +Yos 21:38
  • +Yos 20:8; 1Fa 4:13
  • +Mwa 32:2; 2Sa 2:8; 19:32

1 Mambo ya Nyakati 6:81

Marejeo

  • +Hes 21:26; Yos 13:17
  • +Hes 32:1; Yos 21:39

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 6:1Mwa 29:34; Kut 6:16
1 Nya. 6:1Hes 3:17; 1Nya 6:16
1 Nya. 6:1Kut 6:18; Hes 3:27
1 Nya. 6:1Hes 26:57
1 Nya. 6:21Nya 23:13
1 Nya. 6:2Kut 6:21
1 Nya. 6:21Nya 15:9; 26:30
1 Nya. 6:2Kut 6:22; Law 10:4; 1Nya 15:10
1 Nya. 6:3Kut 6:20
1 Nya. 6:31Nya 23:13
1 Nya. 6:3Kut 6:26; Mdo 7:38; Ebr 3:2
1 Nya. 6:3Kut 2:4; 15:20; Hes 12:10
1 Nya. 6:3Kut 6:23; 24:1; Law 10:1
1 Nya. 6:3Kut 28:1; 1Nya 24:2
1 Nya. 6:3Hes 3:32; Kum 10:6
1 Nya. 6:3Hes 4:28; 1Nya 24:4
1 Nya. 6:4Kut 6:25
1 Nya. 6:4Hes 25:11; 1Nya 9:20; Zb 106:30
1 Nya. 6:4Ezr 7:5
1 Nya. 6:5Ezr 7:4
1 Nya. 6:6Ezr 7:3
1 Nya. 6:72Sa 8:17
1 Nya. 6:82Sa 15:27; 20:25; 1Fa 1:8; 2:35
1 Nya. 6:82Sa 15:36; 17:17; 18:19
1 Nya. 6:102Nya 26:20
1 Nya. 6:11Ezr 7:3
1 Nya. 6:11Ezr 7:2
1 Nya. 6:12Ne 11:11
1 Nya. 6:132Nya 34:14
1 Nya. 6:142Fa 25:18
1 Nya. 6:14Hag 1:1
1 Nya. 6:16Kut 6:16
1 Nya. 6:17Hes 3:18
1 Nya. 6:171Nya 23:7
1 Nya. 6:181Nya 6:2
1 Nya. 6:18Kut 6:20; 1Nya 23:13
1 Nya. 6:18Kut 6:22; Hes 3:19
1 Nya. 6:19Hes 3:20; 1Nya 23:21
1 Nya. 6:19Hes 26:57
1 Nya. 6:20Hes 3:18
1 Nya. 6:212Nya 29:12
1 Nya. 6:22Hes 16:1, 32; 26:10; Yud 11
1 Nya. 6:23Kut 6:24
1 Nya. 6:251Nya 6:36
1 Nya. 6:261Nya 6:35
1 Nya. 6:271Nya 6:34
1 Nya. 6:271Sa 1:1
1 Nya. 6:281Sa 1:20
1 Nya. 6:281Sa 8:2
1 Nya. 6:29Kut 6:19; Hes 3:33; 1Nya 23:21
1 Nya. 6:311Nya 15:16
1 Nya. 6:312Sa 6:17; Zb 132:14
1 Nya. 6:321Nya 16:4, 37
1 Nya. 6:321Nya 16:42; Zb 68:25
1 Nya. 6:321Fa 6:14
1 Nya. 6:322Nya 35:15; Ezr 3:10; 1Ko 14:40
1 Nya. 6:331Nya 15:19; 16:41; 25:1; 2Nya 5:12
1 Nya. 6:331Sa 8:2; 1Nya 6:28
1 Nya. 6:331Sa 1:20; 8:1
1 Nya. 6:341Sa 1:19
1 Nya. 6:341Nya 6:27
1 Nya. 6:351Sa 1:1; 1Nya 6:26
1 Nya. 6:37Kut 6:24
1 Nya. 6:37Hes 26:11; Zb 42:utangulizi
1 Nya. 6:38Hes 3:19
1 Nya. 6:391Nya 25:1; 2Nya 5:12; 29:30; Zb 50:utangulizi
1 Nya. 6:391Nya 15:17
1 Nya. 6:431Nya 6:20
1 Nya. 6:43Kut 6:16
1 Nya. 6:441Nya 23:6
1 Nya. 6:441Nya 15:19
1 Nya. 6:441Nya 15:17
1 Nya. 6:47Hes 3:20
1 Nya. 6:47Kut 6:16
1 Nya. 6:481Nya 23:2; 26:20
1 Nya. 6:48Hes 3:7; 16:9; 1Pe 4:10
1 Nya. 6:49Kut 28:1; Hes 3:10
1 Nya. 6:49Efe 5:2
1 Nya. 6:49Kut 29:38; Law 9:2
1 Nya. 6:49Kut 30:7; 2Nya 26:18
1 Nya. 6:49Kut 30:10; 2Nya 29:24
1 Nya. 6:49Law 4:20; 17:11; Hes 15:25
1 Nya. 6:50Kut 6:23
1 Nya. 6:50Kut 28:1; Hes 3:32
1 Nya. 6:501Nya 6:4; 9:20
1 Nya. 6:50Ezr 7:5
1 Nya. 6:51Ezr 7:4
1 Nya. 6:52Ezr 7:3
1 Nya. 6:522Sa 8:17
1 Nya. 6:532Sa 15:27; 1Fa 1:8; 2:35
1 Nya. 6:532Sa 17:17
1 Nya. 6:54Yos 21:3
1 Nya. 6:54Yos 21:5
1 Nya. 6:55Hes 13:22; Yos 21:11
1 Nya. 6:56Law 25:31
1 Nya. 6:56Kum 1:36; Yos 14:13; Amu 1:20
1 Nya. 6:56Yos 21:12
1 Nya. 6:57Hes 35:13
1 Nya. 6:57Yos 20:7; 21:13
1 Nya. 6:57Yos 15:42; 21:13
1 Nya. 6:57Yos 15:48; 1Sa 30:27
1 Nya. 6:57Yos 21:14
1 Nya. 6:58Yos 15:51; 21:15
1 Nya. 6:58Yos 15:15; Amu 1:11
1 Nya. 6:59Yos 21:16; 1Nya 4:32
1 Nya. 6:59Yos 15:10; 1Sa 6:12
1 Nya. 6:60Yos 18:24; 21:17
1 Nya. 6:60Yos 21:18
1 Nya. 6:601Fa 2:26; Isa 10:30; Yer 1:1
1 Nya. 6:60Yos 21:4
1 Nya. 6:61Yos 21:5
1 Nya. 6:621Nya 6:17
1 Nya. 6:62Yos 21:28
1 Nya. 6:62Yos 21:30
1 Nya. 6:62Yos 21:32
1 Nya. 6:62Yos 21:27
1 Nya. 6:63Yos 21:40
1 Nya. 6:63Yos 21:36
1 Nya. 6:63Yos 21:38
1 Nya. 6:63Yos 21:34
1 Nya. 6:64Yos 21:41
1 Nya. 6:64Hes 35:4
1 Nya. 6:651Nya 6:57, 58
1 Nya. 6:65Yos 19:1
1 Nya. 6:651Nya 6:60
1 Nya. 6:66Yos 21:20
1 Nya. 6:67Yos 20:7; Amu 9:1, 45; 1Fa 12:1
1 Nya. 6:67Yos 16:10; 21:21
1 Nya. 6:68Yos 21:22
1 Nya. 6:68Yos 10:11; 16:5; 21:22
1 Nya. 6:69Yos 10:12; 21:24; Amu 1:35; 2Nya 28:18
1 Nya. 6:69Yos 19:45; 21:24
1 Nya. 6:70Yos 21:25
1 Nya. 6:70Yos 17:11; 2Fa 9:27
1 Nya. 6:70Yos 21:26
1 Nya. 6:71Yos 21:27
1 Nya. 6:71Kum 4:43; Yos 20:8
1 Nya. 6:71Kum 1:4
1 Nya. 6:72Yos 21:28
1 Nya. 6:72Yos 19:12
1 Nya. 6:73Yos 21:29
1 Nya. 6:73Yos 21:29
1 Nya. 6:74Yos 21:30
1 Nya. 6:75Yos 19:25; 21:31
1 Nya. 6:75Yos 19:28; Amu 1:31
1 Nya. 6:76Yos 21:32
1 Nya. 6:76Yos 20:7; Amu 4:6
1 Nya. 6:76Mt 3:13
1 Nya. 6:76Yos 21:32
1 Nya. 6:77Yos 21:34
1 Nya. 6:77Yos 19:13; 21:35
1 Nya. 6:78Yos 21:36
1 Nya. 6:78Kum 4:43; Yos 20:8
1 Nya. 6:78Hes 21:23; Yos 13:18
1 Nya. 6:79Kum 2:26; Yos 13:18
1 Nya. 6:79Yos 21:37
1 Nya. 6:80Yos 21:38
1 Nya. 6:80Yos 20:8; 1Fa 4:13
1 Nya. 6:80Mwa 32:2; 2Sa 2:8; 19:32
1 Nya. 6:81Hes 21:26; Yos 13:17
1 Nya. 6:81Hes 32:1; Yos 21:39
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 6:1-81

1 Mambo ya Nyakati

6 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershoni,+ Kohathi+ na Merari.+ 2 Na wana wa Kohathi walikuwa Amramu,+ Ishari+ na Hebroni+ na Uzieli.+ 3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+ 4 Eleazari+ naye akamzaa Finehasi.+ Finehasi akamzaa Abishua.+ 5 Naye Abishua akamzaa Buki; naye Buki akamzaa Uzi.+ 6 Naye Uzi akamzaa Zeraya; naye Zeraya akamzaa Merayothi.+ 7 Merayothi akamzaa Amaria; naye Amaria akamzaa Ahitubu.+ 8 Naye Ahitubu akamzaa Sadoki;+ naye Sadoki akamzaa Ahimaazi.+ 9 Naye Ahimaazi akamzaa Azaria. Naye Azaria akamzaa Yohanani. 10 Naye Yohanani akamzaa Azaria.+ Yeye ndiye aliyekuwa kuhani katika nyumba ambayo Sulemani alijenga katika Yerusalemu.

11 Na Azaria akamzaa Amaria.+ Naye Amaria akamzaa Ahitubu.+ 12 Naye Ahitubu akamzaa Sadoki.+ Naye Sadoki akamzaa Shalumu. 13 Naye Shalumu akamzaa Hilkia.+ Naye Hilkia akamzaa Azaria. 14 Naye Azaria akamzaa Seraya.+ Naye Seraya akamzaa Yehosadaki.+ 15 Naye Yehosadaki ndiye aliyeenda wakati Yehova alipopeleka Yuda na Yerusalemu uhamishoni kwa mkono wa Nebukadneza.

16 Wana wa Lawi+ walikuwa Gershomu, Kohathi na Merari. 17 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershomu: Libni+ na Shimei.+ 18 Na wana wa Kohathi+ walikuwa Amramu+ na Ishari na Hebroni na Uzieli.+ 19 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+

Na hizi ndizo zilizokuwa familia za Walawi kulingana na mababu zao:+ 20 Ya Gershomu, Libni+ mwana wake, Yahathi mwana wake, Zima mwana wake, 21 Yoa+ mwana wake, Ido mwana wake, Zera mwana wake, Yeatherai mwana wake. 22 Wana wa Kohathi walikuwa Aminadabu mwana wake, Kora+ mwana wake, Asiri mwana wake, 23 Elkana mwana wake na Ebiasafu+ mwana wake na Asiri mwana wake; 24 Tahathi mwana wake, Urieli mwana wake, Uzia mwana wake, na Shauli mwana wake. 25 Na wana wa Elkana+ walikuwa Amasai na Ahimothi. 26 Kwa habari ya Elkana, wana wa Elkana walikuwa Zofai+ mwana wake na Nahathi mwana wake, 27 Eliabu+ mwana wake, Yerohamu mwana wake, Elkana+ mwana wake. 28 Na wana wa Samweli+ walikuwa Yoeli mzaliwa wa kwanza na wa pili Abiya.+ 29 Wana wa Merari walikuwa Mali,+ Libni mwana wake, Shimei mwana wake, Uza mwana wake, 30 Shimea mwana wake, Hagia mwana wake, Asaya mwana wake.

31 Na hawa ndio ambao Daudi+ aliwapa vyeo kwa ajili ya kuongoza uimbaji katika nyumba ya Yehova baada ya Sanduku kupata mahali pa kupumzika.+ 32 Nao wakawa wahudumu+ katika kuimba+ mbele ya maskani ya hema la mkutano mpaka Sulemani alipoijenga nyumba ya Yehova katika Yerusalemu;+ nao wakaendelea kufanya utumishi wao kulingana na utume wao.+ 33 Na hawa ndio waliohudumu na pia wana wao: Wa wana wa Wakohathi Hemani+ mwimbaji, mwana wa Yoeli,+ mwana wa Samweli,+ 34 mwana wa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli,+ mwana wa Toa, 35 mwana wa Sufu,+ mwana wa Elkana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai, 36 mwana wa Elkana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania, 37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu,+ mwana wa Kora,+ 38 mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli.

39 Kwa habari ya Asafu+ ndugu yake, aliyekuwa akihudumu upande wake wa kuume, Asafu alikuwa mwana wa Berekia,+ mwana wa Shimea, 40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya, 41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya, 42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei, 43 mwana wa Yahathi,+ mwana wa Gershomu,+ mwana wa Lawi.

44 Kwa habari ya wana wa Merari+ ndugu zao upande wa mkono wa kushoto, palikuwa na Ethani+ mwana wa Kishi,+ mwana wa Abdi, mwana wa Maluku, 45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia, 46 mwana wa Amzi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri, 47 mwana wa Mali, mwana wa Mushi,+ mwana wa Merari,+ mwana wa Lawi.

48 Na ndugu zao Walawi+ ndio waliokabidhiwa kwa ajili ya utumishi+ wote wa maskani ya nyumba ya Mungu wa kweli. 49 Na Haruni+ na wanawe walikuwa wakifukiza moshi wa dhabihu+ juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa+ na juu ya madhabahu ya uvumba+ kwa ajili ya kazi yote ya vitu vitakatifu zaidi na kufanya upatanisho+ kwa ajili ya Israeli,+ kulingana na yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu wa kweli alikuwa ameamuru. 50 Na hawa ndio waliokuwa wana wa Haruni:+ Eleazari+ mwana wake, Finehasi+ mwana wake, Abishua+ mwana wake, 51 Buki mwana wake, Uzi mwana wake, Zeraya+ mwana wake, 52 Merayothi+ mwana wake, Amaria mwana wake, Ahitubu+ mwana wake, 53 Sadoki+ mwana wake, Ahimaazi+ mwana wake.

54 Na haya ndiyo yaliyokuwa makao yao kulingana na kambi zao zilizozungushiwa ukuta katika eneo lao,+ kwa ajili ya wana wa Haruni wa familia ya Wakohathi,+ kwa maana kura ilikuwa imekuwa yao. 55 Basi wakawapa Hebroni+ katika nchi ya Yuda, pamoja na viwanja vyake vya malisho kulizunguka pande zote. 56 Na shamba la jiji na makao+ yake wakampa Kalebu+ mwana wa Yefune.+ 57 Nao wakawapa wana wa Haruni majiji ya makimbilio,+ Hebroni,+ pamoja na Libna+ na viwanja vyake vya malisho na Yatiri+ na Eshtemoa+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 58 na Hileni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, Debiri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 59 na Ashani+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Beth-shemeshi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 60 na kutoka katika kabila la Benyamini, Geba+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Alemethi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Anathothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho. Majiji yao yote yalikuwa majiji kumi na matatu+ kati ya familia zao.

61 Na kwa wana waliobaki wa Kohathi wakawapa kutoka katika familia ya hilo kabila, kutoka katika ile nusu ya kabila, nusu ya Manase, majiji kumi+ kwa kura.

62 Na kwa wana wa Gershomu+ kulingana na familia zao wakawapa kutoka katika kabila la Isakari+ na kutoka katika kabila la Asheri+ na kutoka katika kabila la Naftali+ na kutoka katika kabila la Manase+ katika Bashani, majiji kumi na matatu.

63 Nao wakawapa wana wa Merari+ kulingana na familia zao kutoka katika kabila la Rubeni+ na kutoka katika kabila la Gadi+ na kutoka katika kabila la Zabuloni+ kwa kura majiji kumi na mawili.

64 Hivyo wana wa Israeli wakawapa Walawi+ majiji hayo pamoja na viwanja vyake vya malisho.+ 65 Tena, kwa kura wakatoa kutoka katika kabila la wana wa Yuda+ na kutoka katika kabila la wana wa Simeoni+ na kutoka katika kabila la wana wa Benyamini+ majiji haya, ambayo waliyaita kulingana na majina.

66 Na baadhi ya familia za wana wa Kohathi zilikuwa na majiji ya eneo lao kutoka katika kabila la Efraimu.+ 67 Basi wakawapa majiji ya makimbilio, Shekemu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 68 na Yokmeamu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Beth-horoni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 69 na Aiyaloni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Gath-rimoni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 70 na kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Aneri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Bileamu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, kwa familia ya wana wa Kohathi waliobaki.+

71 Na kwa wana wa Gershomu+ wakawapa kutoka katika familia ya nusu ya kabila la Manase, Golani+ katika Bashani pamoja na viwanja vyake vya malisho na Ashtarothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 72 na kutoka katika kabila la Isakari, Kedeshi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Daberathi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 73 na Ramothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Anemu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 74 na kutoka katika kabila la Asheri, Mashali pamoja na viwanja vyake vya malisho na Abdoni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 75 na Hukoki+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Rehobu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 76 na kutoka katika kabila la Naftali,+ Kedeshi+ katika Galilaya+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Hamoni pamoja na viwanja vyake vya malisho na Kiriathaimu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho.

77 Na kwa wana wa Merari waliobaki kutoka katika kabila la Zabuloni+ wakawapa Rimono+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, Tabori pamoja na viwanja vyake vya malisho, 78 na katika eneo la Yordani kule Yeriko upande wa mashariki wa Yordani, kutoka katika kabila la Rubeni,+ Beseri+ katika nyika pamoja na viwanja vyake vya malisho na Yahazi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 79 na Kedemothi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Mefaathi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho; 80 na kutoka katika kabila la Gadi,+ Ramothi+ katika Gileadi pamoja na viwanja vyake vya malisho na Mahanaimu+ pamoja na viwanja vyake vya malisho, 81 na Heshboni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Yazeri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki