1 Samweli 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+ 1 Samweli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikawa kwamba mara Samweli alipokuwa amezeeka, akawaweka+ wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
20 Kwa hiyo ikawa mwishoni mwa mwaka kwamba Hana akachukua mimba, akamzaa mwana, akamwita jina+ lake Samweli, kwa maana alisema, “Nimemwomba kutoka kwa Yehova.”+