29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+
51 Basi Yosefu akamwita jina lake mzaliwa wa kwanza Manase,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.”+