Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova akamwambia Noa: “Ingia ndani ya safina, wewe pamoja na nyumba yako yote,+ kwa maana nimekuona wewe kuwa mwadilifu mbele zangu kati ya kizazi hiki.+

  • Ezekieli 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Na kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake, Noa,+ Danieli+ na Ayubu,+ wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu+ wao wangeikomboa nafsi yao,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+

  • Mathayo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kama vile siku za Noa+ zilivyokuwa, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+

  • Waebrania 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa imani Noa,+ baada ya kupewa onyo la kimungu la mambo ambayo yalikuwa bado hayajaonekana,+ alionyesha woga wa kimungu na kujenga safina+ kwa ajili ya kuiokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo aliuhukumu ulimwengu+ kuwa wenye hatia, naye akawa mrithi wa uadilifu+ unaolingana na imani.

  • 1 Petro 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambao wakati fulani hawakuwa watiifu+ wakati subira ya Mungu+ ilipokuwa ikingoja katika siku za Noa, safina ilipokuwa ikijengwa,+ ambayo ndani yake watu wachache, yaani, nafsi nane, walichukuliwa salama kupitia maji.+

  • 2 Petro 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 naye hakujizuia kuuadhibu ulimwengu wa kale,+ bali alimlinda Noa, mhubiri wa uadilifu,+ akiwa salama pamoja na wengine saba+ alipoleta gharika+ juu ya ulimwengu wa watu wasiomwogopa Mungu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki