Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+ Yeremia 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+
4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+
15 Na Yehova akaniambia: “Kama Musa+ na Samweli+ wangekuwa wamesimama mbele zangu, nafsi yangu haingewaelekea watu hawa.+ Wangefukuzwa mbele za uso wangu, ili watoke waende.+