2 Wafalme 17:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+ Yeremia 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami nitawatupa ninyi nje kutoka mbele za macho yangu,+ kama nilivyowatupa nje ndugu zenu wote, uzao wote wa Efraimu.’+
20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+
15 Nami nitawatupa ninyi nje kutoka mbele za macho yangu,+ kama nilivyowatupa nje ndugu zenu wote, uzao wote wa Efraimu.’+