Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 17:1

Marejeo

  • +2Fa 15:30
  • +Isa 7:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 148-149

2 Wafalme 17:2

Marejeo

  • +1Fa 12:28; 13:33; 16:33

2 Wafalme 17:3

Marejeo

  • +2Fa 18:9; Ho. 10:14
  • +Isa 10:5
  • +Kum 28:45; 2Fa 18:14; Ezr 7:24

2 Wafalme 17:4

Marejeo

  • +2Fa 24:1, 20; Eze 17:15
  • +Isa 30:2; 31:1
  • +Kum 28:36

2 Wafalme 17:5

Marejeo

  • +Kum 28:52

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 27

2 Wafalme 17:6

Marejeo

  • +2Fa 18:10; Ho. 13:16
  • +Law 26:32; Kum 4:27; 28:64; 1Fa 14:15
  • +1Nya 5:26
  • +2Fa 18:11
  • +2Fa 18:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 145, 156

    Neno la Mungu, kur. 47-48

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 27

2 Wafalme 17:7

Marejeo

  • +Kum 31:29; 32:15; Yos 23:16; Ne 9:26; Zb 106:35; Amo 5:7
  • +Kut 20:2
  • +Kut 20:5; 2Fa 17:35; Yer 10:5

2 Wafalme 17:8

Marejeo

  • +Zb 89:31

2 Wafalme 17:9

Marejeo

  • +Kum 13:6; 27:15; Eze 8:12
  • +2Fa 16:4; Ho. 12:11
  • +2Fa 18:8

2 Wafalme 17:10

Marejeo

  • +Kut 34:13; Law 26:1
  • +Kum 7:5; 16:21; Mik 5:14
  • +Kum 12:2
  • +2Fa 16:4; Isa 57:5

2 Wafalme 17:11

Marejeo

  • +Law 20:23; Yer 44:17
  • +Met 15:8

2 Wafalme 17:12

Marejeo

  • +Kut 34:14; Law 26:30; 1Fa 12:28; 21:26
  • +Kut 20:3; Law 26:1; Kum 4:23

2 Wafalme 17:13

Marejeo

  • +Kum 8:19; 32:46; Zb 81:8
  • +Ho. 4:15
  • +Yer 3:11
  • +2Nya 24:19; 36:16; Ebr 1:1
  • +1Sa 9:9; 1Nya 29:29
  • +Isa 55:7; Yer 18:11; 25:4; Eze 18:31
  • +Kut 24:7; Kum 6:1
  • +Kum 8:11
  • +Kut 20:1; 21:1
  • +Kum 5:1
  • +Yer 7:25

2 Wafalme 17:14

Marejeo

  • +Kum 31:27; Yer 5:29
  • +Kum 1:32

2 Wafalme 17:15

Marejeo

  • +Kum 5:2; 29:12
  • +Zb 19:7; Ho. 4:6
  • +Kum 32:21; 1Sa 12:21; Yer 10:15; 1Ko 8:4
  • +Zb 115:8; Isa 44:9; Yer 2:5; Ro 1:21
  • +Kum 12:30

2 Wafalme 17:16

Marejeo

  • +Kum 4:2
  • +2Nya 28:2
  • +1Fa 12:28; 2Nya 13:8
  • +1Fa 14:15; 16:33
  • +Kum 4:19; 2Fa 23:5; Yer 8:2
  • +1Fa 16:31; 22:53; 2Fa 10:21

2 Wafalme 17:17

Marejeo

  • +2Fa 16:3; 21:6; Isa 57:5
  • +Kum 18:10; 2Nya 33:6; Mik 5:12; Mdo 16:16
  • +Law 19:26; 2Fa 21:6
  • +1Fa 21:20
  • +Kut 34:14; 1Fa 15:30

2 Wafalme 17:18

Marejeo

  • +Kum 9:8; 29:20; 1Fa 8:46
  • +Yos 23:13; Isa 42:24; Yer 15:1
  • +1Fa 11:32; 12:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 145

2 Wafalme 17:19

Marejeo

  • +1Fa 14:22; 2Nya 21:10; Yer 3:8
  • +Eze 23:11

2 Wafalme 17:20

Marejeo

  • +2Nya 20:7; Yer 6:30
  • +2Fa 13:3

2 Wafalme 17:21

Marejeo

  • +1Fa 11:31; 12:20
  • +Kut 32:31; 1Sa 2:17; 1Fa 14:16

2 Wafalme 17:22

Marejeo

  • +1Fa 12:28; 13:33

2 Wafalme 17:23

Marejeo

  • +Kum 32:26; 2Fa 13:23; 23:27
  • +Kum 28:63; 1Fa 14:16; Ho. 1:4; Amo 5:27; Mik 1:6
  • +2Fa 18:11

2 Wafalme 17:24

Marejeo

  • +2Fa 17:30
  • +2Fa 17:31; Isa 37:13
  • +2Fa 19:13; Isa 10:9
  • +2Fa 18:34; Isa 36:19
  • +Mt 10:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 27

2 Wafalme 17:25

Marejeo

  • +Met 8:13; Mhu 12:13; Yer 10:7; Da 6:26
  • +Kut 23:29; Yer 5:6

2 Wafalme 17:26

Marejeo

  • +Met 30:30

2 Wafalme 17:27

Marejeo

  • +Ezr 7:10; Mal 2:7

2 Wafalme 17:28

Marejeo

  • +Mwa 28:19; Yos 16:1; 1Sa 7:16; 1Fa 12:29
  • +Mhu 8:12; Isa 29:13; Yoh 4:22

2 Wafalme 17:29

Marejeo

  • +Zb 96:5; 135:15; Isa 44:9; Yer 10:5; Mik 4:5; Ro 1:23; 1Ko 8:4

2 Wafalme 17:30

Marejeo

  • +2Fa 17:24

2 Wafalme 17:31

Marejeo

  • +2Fa 17:24
  • +2Fa 18:34
  • +2Fa 17:17; 2Nya 28:3; Zb 106:37; Isa 57:5; Eze 20:31

2 Wafalme 17:32

Marejeo

  • +1Fa 12:31; 13:33

2 Wafalme 17:33

Marejeo

  • +2Fa 17:41; Isa 29:13
  • +Lu 16:13; 2Ko 6:16
  • +2Fa 17:24

2 Wafalme 17:34

Marejeo

  • +Isa 44:8; 1Ko 10:20
  • +2Fa 17:25
  • +Kum 5:1; 8:11; 2Fa 17:13
  • +Kum 1:5
  • +Kum 6:2
  • +Mwa 28:14; 46:2
  • +Mwa 32:28; 35:10; Isa 48:1

2 Wafalme 17:35

Marejeo

  • +Kut 19:5; 24:7; Kum 5:2; 29:1; Yer 31:31
  • +Kut 20:4; Amu 6:10
  • +Kut 20:5; 23:24; 34:14; Kum 4:25; 5:9

2 Wafalme 17:36

Marejeo

  • +Kut 6:6; Kum 5:15; Yer 32:21
  • +Kum 6:13; Zb 34:9; Met 8:13
  • +Zb 95:6; 96:9
  • +Law 19:5; Kum 12:6

2 Wafalme 17:37

Marejeo

  • +Kum 12:1
  • +Kum 11:32
  • +Kum 31:9
  • +Kum 5:29

2 Wafalme 17:38

Marejeo

  • +Kum 4:23
  • +Kum 5:9

2 Wafalme 17:39

Marejeo

  • +Isa 42:8
  • +Ne 9:27

2 Wafalme 17:40

Marejeo

  • +Kum 4:28; 2Fa 17:34

2 Wafalme 17:41

Marejeo

  • +Yos 24:14; Ezr 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1990, uku. 3

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 17:12Fa 15:30
2 Fal. 17:1Isa 7:9
2 Fal. 17:21Fa 12:28; 13:33; 16:33
2 Fal. 17:32Fa 18:9; Ho. 10:14
2 Fal. 17:3Isa 10:5
2 Fal. 17:3Kum 28:45; 2Fa 18:14; Ezr 7:24
2 Fal. 17:42Fa 24:1, 20; Eze 17:15
2 Fal. 17:4Isa 30:2; 31:1
2 Fal. 17:4Kum 28:36
2 Fal. 17:5Kum 28:52
2 Fal. 17:62Fa 18:10; Ho. 13:16
2 Fal. 17:6Law 26:32; Kum 4:27; 28:64; 1Fa 14:15
2 Fal. 17:61Nya 5:26
2 Fal. 17:62Fa 18:11
2 Fal. 17:62Fa 18:11
2 Fal. 17:7Kum 31:29; 32:15; Yos 23:16; Ne 9:26; Zb 106:35; Amo 5:7
2 Fal. 17:7Kut 20:2
2 Fal. 17:7Kut 20:5; 2Fa 17:35; Yer 10:5
2 Fal. 17:8Zb 89:31
2 Fal. 17:9Kum 13:6; 27:15; Eze 8:12
2 Fal. 17:92Fa 16:4; Ho. 12:11
2 Fal. 17:92Fa 18:8
2 Fal. 17:10Kut 34:13; Law 26:1
2 Fal. 17:10Kum 7:5; 16:21; Mik 5:14
2 Fal. 17:10Kum 12:2
2 Fal. 17:102Fa 16:4; Isa 57:5
2 Fal. 17:11Law 20:23; Yer 44:17
2 Fal. 17:11Met 15:8
2 Fal. 17:12Kut 34:14; Law 26:30; 1Fa 12:28; 21:26
2 Fal. 17:12Kut 20:3; Law 26:1; Kum 4:23
2 Fal. 17:13Kum 8:19; 32:46; Zb 81:8
2 Fal. 17:13Ho. 4:15
2 Fal. 17:13Yer 3:11
2 Fal. 17:132Nya 24:19; 36:16; Ebr 1:1
2 Fal. 17:131Sa 9:9; 1Nya 29:29
2 Fal. 17:13Isa 55:7; Yer 18:11; 25:4; Eze 18:31
2 Fal. 17:13Kut 24:7; Kum 6:1
2 Fal. 17:13Kum 8:11
2 Fal. 17:13Kut 20:1; 21:1
2 Fal. 17:13Kum 5:1
2 Fal. 17:13Yer 7:25
2 Fal. 17:14Kum 31:27; Yer 5:29
2 Fal. 17:14Kum 1:32
2 Fal. 17:15Kum 5:2; 29:12
2 Fal. 17:15Zb 19:7; Ho. 4:6
2 Fal. 17:15Kum 32:21; 1Sa 12:21; Yer 10:15; 1Ko 8:4
2 Fal. 17:15Zb 115:8; Isa 44:9; Yer 2:5; Ro 1:21
2 Fal. 17:15Kum 12:30
2 Fal. 17:16Kum 4:2
2 Fal. 17:162Nya 28:2
2 Fal. 17:161Fa 12:28; 2Nya 13:8
2 Fal. 17:161Fa 14:15; 16:33
2 Fal. 17:16Kum 4:19; 2Fa 23:5; Yer 8:2
2 Fal. 17:161Fa 16:31; 22:53; 2Fa 10:21
2 Fal. 17:172Fa 16:3; 21:6; Isa 57:5
2 Fal. 17:17Kum 18:10; 2Nya 33:6; Mik 5:12; Mdo 16:16
2 Fal. 17:17Law 19:26; 2Fa 21:6
2 Fal. 17:171Fa 21:20
2 Fal. 17:17Kut 34:14; 1Fa 15:30
2 Fal. 17:18Kum 9:8; 29:20; 1Fa 8:46
2 Fal. 17:18Yos 23:13; Isa 42:24; Yer 15:1
2 Fal. 17:181Fa 11:32; 12:20
2 Fal. 17:191Fa 14:22; 2Nya 21:10; Yer 3:8
2 Fal. 17:19Eze 23:11
2 Fal. 17:202Nya 20:7; Yer 6:30
2 Fal. 17:202Fa 13:3
2 Fal. 17:211Fa 11:31; 12:20
2 Fal. 17:21Kut 32:31; 1Sa 2:17; 1Fa 14:16
2 Fal. 17:221Fa 12:28; 13:33
2 Fal. 17:23Kum 32:26; 2Fa 13:23; 23:27
2 Fal. 17:23Kum 28:63; 1Fa 14:16; Ho. 1:4; Amo 5:27; Mik 1:6
2 Fal. 17:232Fa 18:11
2 Fal. 17:242Fa 17:30
2 Fal. 17:242Fa 17:31; Isa 37:13
2 Fal. 17:242Fa 19:13; Isa 10:9
2 Fal. 17:242Fa 18:34; Isa 36:19
2 Fal. 17:24Mt 10:5
2 Fal. 17:25Met 8:13; Mhu 12:13; Yer 10:7; Da 6:26
2 Fal. 17:25Kut 23:29; Yer 5:6
2 Fal. 17:26Met 30:30
2 Fal. 17:27Ezr 7:10; Mal 2:7
2 Fal. 17:28Mwa 28:19; Yos 16:1; 1Sa 7:16; 1Fa 12:29
2 Fal. 17:28Mhu 8:12; Isa 29:13; Yoh 4:22
2 Fal. 17:29Zb 96:5; 135:15; Isa 44:9; Yer 10:5; Mik 4:5; Ro 1:23; 1Ko 8:4
2 Fal. 17:302Fa 17:24
2 Fal. 17:312Fa 17:24
2 Fal. 17:312Fa 18:34
2 Fal. 17:312Fa 17:17; 2Nya 28:3; Zb 106:37; Isa 57:5; Eze 20:31
2 Fal. 17:321Fa 12:31; 13:33
2 Fal. 17:332Fa 17:41; Isa 29:13
2 Fal. 17:33Lu 16:13; 2Ko 6:16
2 Fal. 17:332Fa 17:24
2 Fal. 17:34Isa 44:8; 1Ko 10:20
2 Fal. 17:342Fa 17:25
2 Fal. 17:34Kum 5:1; 8:11; 2Fa 17:13
2 Fal. 17:34Kum 1:5
2 Fal. 17:34Kum 6:2
2 Fal. 17:34Mwa 28:14; 46:2
2 Fal. 17:34Mwa 32:28; 35:10; Isa 48:1
2 Fal. 17:35Kut 19:5; 24:7; Kum 5:2; 29:1; Yer 31:31
2 Fal. 17:35Kut 20:4; Amu 6:10
2 Fal. 17:35Kut 20:5; 23:24; 34:14; Kum 4:25; 5:9
2 Fal. 17:36Kut 6:6; Kum 5:15; Yer 32:21
2 Fal. 17:36Kum 6:13; Zb 34:9; Met 8:13
2 Fal. 17:36Zb 95:6; 96:9
2 Fal. 17:36Law 19:5; Kum 12:6
2 Fal. 17:37Kum 12:1
2 Fal. 17:37Kum 11:32
2 Fal. 17:37Kum 31:9
2 Fal. 17:37Kum 5:29
2 Fal. 17:38Kum 4:23
2 Fal. 17:38Kum 5:9
2 Fal. 17:39Isa 42:8
2 Fal. 17:39Ne 9:27
2 Fal. 17:40Kum 4:28; 2Fa 17:34
2 Fal. 17:41Yos 24:14; Ezr 4:2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 17:1-41

2 Wafalme

17 Katika mwaka wa kumi na mbili wa Ahazi mfalme wa Yuda, Hoshea+ mwana wa Ela akawa mfalme katika Samaria+ juu ya Israeli kwa miaka tisa. 2 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ila tu si kama wafalme wa Israeli waliomtangulia.+ 3 Shalmanesa+ mfalme wa Ashuru+ alipanda kuja kupigana naye, na Hoshea akawa mtumishi wake, akaanza kumlipa ushuru.+ 4 Hata hivyo, mfalme wa Ashuru akatambua kuna hila+ ndani ya Hoshea, kwa vile alikuwa ametuma wajumbe kwa So mfalme wa Misri+ naye hakuleta ushuru kwa mfalme wa Ashuru kama katika miaka ya hapo mwanzoni. Basi mfalme wa Ashuru akamfungia ndani na kuendelea kumfunga kifungoni.+

5 Na mfalme wa Ashuru akapanda kuja juu ya nchi yote na kupanda kuja mpaka Samaria, akalizingira+ kwa miaka mitatu. 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+

7 Na ikawa kwamba kwa sababu wana wa Israeli walimtendea dhambi+ Yehova, Mungu wao, aliyewapandisha kutoka katika nchi ya Misri kutoka chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ nao wakaanza kuogopa miungu mingine;+ 8 nao wakaendelea kutembea katika sheria+ za mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli, na katika sheria za wafalme wa Israeli ambazo walikuwa wametunga; 9 na wana wa Israeli wakatafuta mambo ambayo hayakuwa sawa kumwelekea Yehova Mungu wao,+ wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ katika majiji yao yote, kuanzia mnara+ wa walinzi mpaka jiji lenye ngome; 10 nao wakaendelea kujisimamishia nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima+ kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi;+ 11 na hapo katika mahali pote pa juu wakaendelea kufukiza moshi wa dhabihu sawa na mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kwa sababu yao, nao wakaendelea kutenda mambo mabaya ili kumtia uchungu+ Yehova;

12 Nao wakaendelea kutumikia sanamu za mavi,+ ambazo Yehova alikuwa amewaambia hivi kuzihusu: “Msifanye jambo hili”;+ 13 na Yehova akaendelea kuonya+ Israeli+ na Yuda+ kupitia manabii+ wake wote na kila mwonaji,+ akisema: “Geukeni kutoka katika njia zenu mbaya,+ mshike amri+ zangu, sheria+ zangu, kulingana na sheria+ yote niliyowaamuru mababu+ zenu na ambayo nimepeleka kwenu kupitia watumishi wangu manabii”;+ 14 nao hawakusikiliza lakini wakaendelea kufanya shingo zao kuwa ngumu+ kama shingo za mababu zao ambao hawakuonyesha imani+ katika Yehova Mungu wao; 15 nao wakaendelea kukataa masharti yake na agano+ lake alilofanya na mababu zao na vikumbusho+ vyake alivyokuwa amewaonya navyo, nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili+ nao wenyewe wakawa ubatili,+ naam, kwa kuiga mataifa yaliyowazunguka pande zote, ambao Yehova alikuwa amewaamuru wasifanye kama wao;+

16 Nao wakaendelea kuacha amri+ zote za Yehova, Mungu wao, wakajitengenezea sanamu za kuyeyushwa,+ ndama wawili,+ na kutengeneza mti mtakatifu,+ nao wakaanza kuliinamia jeshi lote la mbinguni+ na kutumikia Baali;+ 17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+

18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+

19 Hata Yuda hawakushika amri za Yehova, Mungu wao,+ lakini walianza kutembea katika sheria za Israeli+ ambazo walitunga. 20 Basi Yehova akaukataa uzao+ wote wa Israeli, akaendelea kuwatesa na kuwatia mkononi mwa waporaji, mpaka alipowatupilia mbali kutoka mbele zake.+ 21 Kwa maana alirarua Israeli kutoka katika nyumba ya Daudi, nao wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme; na Yeroboamu+ akawatenga Israeli wasimfuate Yehova, naye akawasababisha watende dhambi kubwa.+ 22 Na wana wa Israeli wakatembea katika dhambi zote za Yeroboamu alizokuwa ametenda.+ Hawakuziacha, 23 mpaka Yehova alipoondoa Israeli kutoka mbele za macho yake,+ kama alivyokuwa amesema kupitia kwa watumishi wake wote manabii.+ Basi Israeli wakatoka katika udongo wao wenyewe, wakaenda uhamishoni katika Ashuru mpaka leo hii.+

24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake. 25 Na ikawa kwamba walipoanza kukaa humo, hawakumwogopa+ Yehova. Kwa hiyo Yehova akatuma simba+ katikati yao, nao wakaja kuwa wauaji katikati yao. 26 Basi wakatuma neno kwa mfalme wa Ashuru, na kusema: “Mataifa ambayo umepeleka uhamishoni na kuwakalisha katika majiji ya Samaria hawajui dini ya Mungu wa nchi hiyo, hivi kwamba yeye anazidi kutuma simba katikati yao;+ na tazama! wanawaua, kwa vile hakuna wowote wanaojua dini ya Mungu wa nchi hiyo.”

27 Ndipo mfalme wa Ashuru akaamuru, akisema: “Pelekeni huko mmoja wa makuhani+ mliopeleka uhamishoni kutoka huko, ili aende na kukaa huko, awafundishe dini ya Mungu wa nchi hiyo.” 28 Basi mmoja wa makuhani ambaye walikuwa wamempeleka uhamishoni kutoka Samaria akaja na kuanza kukaa katika Betheli,+ naye akawa mwalimu wao kuhusu jinsi wanavyopaswa kumwogopa Yehova.+

29 Hata hivyo, kila taifa tofauti likajifanyia mungu wake mwenyewe,+ ambaye walimweka katika nyumba ya mahali pa juu ambapo Wasamaria walikuwa wamejenga, kila taifa tofauti, katika majiji yao ambamo walikuwa wakikaa. 30 Na watu wa Babiloni wakatengeneza Sukoth-benothi, na watu wa Kuthi+ wakatengeneza Nergali, na watu wa Hamathi wakatengeneza Ashima. 31 Nao Waavi+ wakatengeneza Nibhazi na Tartaki; na Wasefarvaimu+ wakawa wakiwateketeza wana wao motoni+ kwa Adrameleki na Anameleki miungu ya Sefarvaimu. 32 Nao wakawa wakimwogopa Yehova, wakaanza kujifanyia makuhani+ wa mahali pa juu kutoka kwa watu wa kawaida, wakawa watendaji kwa ajili yao katika nyumba ya mahali pa juu. 33 Wakawa wakimwogopa Yehova,+ lakini wakaiabudu miungu yao wenyewe,+ kulingana na dini ya yale mataifa ambayo kutoka katikati yao waliwapeleka uhamishoni.+

34 Mpaka leo hii wanafanya kulingana na dini zao za kwanza.+ Hapakuwa na yeyote aliyemwogopa Yehova+ wala yeyote aliyefanya kulingana na masharti yake na maamuzi yake ya hukumu+ na sheria+ na amri+ ambazo Yehova aliwaamuru wana wa Yakobo,+ ambaye jina lake alilifanya kuwa Israeli;+ 35 wakati Yehova alipofanya agano+ pamoja nao na kuwaamuru, akisema: “Msiogope miungu mingine,+ wala msiinamie wala kuitumikia wala kuitolea dhabihu.+ 36 Lakini Yehova, aliyewapandisha ninyi kutoka katika nchi ya Misri kwa nguvu kubwa na kwa mkono ulionyooshwa,+ Yeye ndiye mnayepaswa kuogopa,+ nanyi mnapaswa kumwinamia+ yeye, nanyi mnapaswa kumtolea yeye dhabihu.+ 37 Na yale masharti+ na maamuzi ya hukumu+ na sheria na amri alizowaandikia,+ muwe waangalifu kuzitenda sikuzote;+ nanyi msiogope miungu mingine. 38 Na lile agano ambalo nimefanya pamoja nanyi, msilisahau;+ nanyi msiogope miungu mingine.+ 39 Lakini ni Yehova,+ Mungu wenu, mnayepaswa kumwogopa, kwa maana yeye ndiye atakayewakomboa kutoka mkononi mwa adui+ zenu wote.”

40 Nao hawakutii, lakini walitenda kulingana na dini yao ya kwanza.+ 41 Na hayo mataifa yakawa yakimwogopa Yehova,+ lakini yakazitumikia sanamu zao za kuchongwa. Na wana wao pamoja na wajukuu wao, wanatenda mpaka leo hii kama tu mababu zao walivyotenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki