9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+
5 Yehova amesema hivi: “Baba zenu walipata jambo gani ndani yangu ambalo halikuwa la haki,+ hivi kwamba wakasimama mbali sana nami,+ nao wakaendelea kufuata sanamu ya ubatili+ na wao wenyewe wakawa ubatili?+
21 Kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kuwa Mungu wala hawakumshukuru,+ bali wakawa wajinga+ katika kufikiri kwao na moyo wao usio na ufahamu ukaingiwa na giza.+