-
Waroma 1:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 kwa sababu, ijapokuwa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama Mungu wala hawakumshukuru, bali wakawa wenye akili haba katika mawazowazo yao na moyo wao usio na akili ukawa wenye giza.
-