1 Samweli 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli. Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+ Isaya 41:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+
21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli.
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+