1 Samweli 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli. 1 Mambo ya Nyakati 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+ Zaburi 96:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+ Isaya 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+ Isaya 41:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+
21 Nanyi msigeuke kando ili kufuata vitu visivyo vya kweli+ ambavyo havina faida+ yoyote na ambavyo havikomboi, kwa sababu hivyo ni vitu visivyo vya kweli.
26 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani.+Lakini Yehova, alizifanya mbingu.+
5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+
19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+
29 Tazama! Wote ni kitu ambacho hakipo. Kazi zao si kitu. Sanamu zao za kuyeyushwa ni upepo na ubatili.+