Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Fundi ametengeneza tu sanamu ya kuyeyushwa,+ na fundi wa chuma huifunika kwa dhahabu,+ naye anafua minyororo ya fedha.+

  • Isaya 41:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo fundi akamtia nguvu fundi wa chuma;+ yeye anayelainisha kwa nyundo ya chuma akamtia nguvu yeye anayefua kwenye fuawe, akisema hivi kuhusu ile lehemu: “Ni nzuri.” Mwishowe mtu akaipigilia misumari ili isiweze kuyumba-yumba.+

  • Hosea 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana katika Israeli kimetokea hata kitu hiki.+ Fundi tu ndiye aliyekifanya,+ wala si Mungu; kwa maana ndama wa Samaria atavunjika vipande-vipande.+

  • Matendo 17:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki