Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 135:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,+

      Kazi ya mikono ya mtu wa udongo.+

  • Isaya 44:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wanaofanya sanamu ya kuchongwa wote ni ubatili,+ na vipenzi vyao hawatakuwa na faida yoyote;+ na wakiwa mashahidi wao hawaoni lolote wala hawajui lolote,+ ili waone aibu.+

  • Yeremia 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana desturi za vikundi vya watu+ ni pumzi tu, kwa sababu ni mti+ tu ambao mtu amekata kutoka msituni, kazi ya mikono ya fundi mwenye tezo.+

  • Habakuki 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sanamu ya kuchongwa imekuwa na faida gani,+ wakati yeye aliyeifanya ameichonga, sanamu ya kuyeyushwa, na mfundishaji wa uwongo?+ wakati yeye aliyefanya umbo lake ameitegemea,+ kufikia hatua ya kufanya miungu isiyo na thamani ambayo haiwezi kusema?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki