Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 37:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na ikawa kwamba alipokuwa akiinama nyumbani mwa Nisroki+ mungu wake,+ Adrameleki na Shareza, wanawe mwenyewe, wakampiga na kumuua kwa upanga,+ nao wakakimbia, wakaenda katika nchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • Isaya 42:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watarudishwa, wataona aibu sana, wale wanaoitegemea sanamu ya kuchongwa,+ wale wanaoiambia sanamu ya kuyeyushwa: “Ninyi ni miungu yetu.”+

  • Yeremia 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Lakini iko wapi miungu yako ambayo umejifanyia?+ Na isimame ikiwa inaweza kukuokoa wakati wa msiba wako.+ Kwa maana miungu yako imekuwa kama hesabu ya majiji yako, Ee Yuda.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki