Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+ Isaya 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti yenye nguvu ambayo ninyi mliitamani,+ nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani ambazo mmechagua.+ Isaya 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Wenzake wote wataona aibu,+ na hao mafundi ni kutoka kati ya watu wa udongo. Wote watajikusanya pamoja.+ Watasimama tuli. Watakuwa na hofu. Wataona aibu wakati uleule.+ Isaya 45:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja. Yeremia 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti yenye nguvu ambayo ninyi mliitamani,+ nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani ambazo mmechagua.+
11 Tazama! Wenzake wote wataona aibu,+ na hao mafundi ni kutoka kati ya watu wa udongo. Wote watajikusanya pamoja.+ Watasimama tuli. Watakuwa na hofu. Wataona aibu wakati uleule.+
16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja.
26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+