Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+

      Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+

      Mwinamieni, enyi miungu yote.+

  • Isaya 1:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa maana wataona aibu kwa sababu ya miti yenye nguvu ambayo ninyi mliitamani,+ nanyi mtafedheheka kwa sababu ya bustani ambazo mmechagua.+

  • Isaya 44:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Wenzake wote wataona aibu,+ na hao mafundi ni kutoka kati ya watu wa udongo. Wote watajikusanya pamoja.+ Watasimama tuli. Watakuwa na hofu. Wataona aibu wakati uleule.+

  • Isaya 45:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hakika wote wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watengenezaji wa maumbo ya sanamu watatembea kwa kufedheheka pamoja.

  • Yeremia 2:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki