4 “Usijifanyie sanamu ya kuchongwa wala umbo lililo kama kitu chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
26“‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+