Zaburi 135:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia lolote.+Pia hazina roho yoyote katika vinywa vyao.+ Yeremia 51:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani ya hizo.+
17 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani ya hizo.+