Yeremia 51:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi. Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,Nazo hazina roho* ndani yake.+
17 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi. Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,Nazo hazina roho* ndani yake.+