Zaburi 135:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia lolote.+Pia hazina roho yoyote katika vinywa vyao.+ Yeremia 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+ Habakuki 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+
14 Kila mtu amejiendesha kwa kukosa sana kutumia akili asiweze kujua.+ Hakika kila fundi wa chuma ataona aibu kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+ kwa maana sanamu yake ya kuyeyushwa ni uwongo,+ na hamna roho ndani yake.+
19 “ ‘Ole wake anayekiambia kipande cha mti: “Ee amka!” anayeliambia jiwe lisiloweza kusema: “Ee amka! Hizo zenyewe zitafundisha”!+ Tazama! Zimefunikwa kwa dhahabu na fedha,+ wala hamna pumzi yoyote katikati yake.+