Zaburi 97:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+ Isaya 42:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watarudishwa, wataona aibu sana, wale wanaoitegemea sanamu ya kuchongwa,+ wale wanaoiambia sanamu ya kuyeyushwa: “Ninyi ni miungu yetu.”+ Isaya 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tazama! Wenzake wote wataona aibu,+ na hao mafundi ni kutoka kati ya watu wa udongo. Wote watajikusanya pamoja.+ Watasimama tuli. Watakuwa na hofu. Wataona aibu wakati uleule.+
7 Wote wanaotumikia sanamu yoyote ya kuchongwa na waone aibu,+Wale wanaojisifia miungu isiyo na thamani.+Mwinamieni, enyi miungu yote.+
17 Watarudishwa, wataona aibu sana, wale wanaoitegemea sanamu ya kuchongwa,+ wale wanaoiambia sanamu ya kuyeyushwa: “Ninyi ni miungu yetu.”+
11 Tazama! Wenzake wote wataona aibu,+ na hao mafundi ni kutoka kati ya watu wa udongo. Wote watajikusanya pamoja.+ Watasimama tuli. Watakuwa na hofu. Wataona aibu wakati uleule.+