3 Kisha Waashdodi wakaamka mapema kesho yake, na tazama, Dagoni alikuwa ameanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Yehova.+ Basi wakamchukua Dagoni na kumrudisha mahali pake.+
7 Na watu wa Ashdodi wakaona kwamba iko hivyo, ndipo wakasema: “Msiache sanduku la Mungu wa Israeli likae pamoja nasi, kwa sababu mkono wake umekuwa mzito juu yetu na juu ya Dagoni mungu wetu.”+