Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Kwa maana zamani nilivunja nira yako vipande-vipande;+ nilizikata pingu zako. Lakini ulisema: “Mimi sitatumikia,” kwa maana ulikuwa umelala huku umejinyoosha+ juu ya kila kilima kirefu na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ukifanya ukahaba.+

  • Yeremia 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Yehova akaniambia katika siku za mfalme Yosia:+ “‘Je, umeona lile ambalo Israeli asiye mwaminifu amefanya?+ Anaenda juu ya kila mlima mrefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi,+ ili afanye ukahaba huko.+

  • Ezekieli 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ wakati ambapo waliouawa kati yao watakuwa katikati ya sanamu zao za mavi,+ kuzunguka pande zote za madhabahu zao,+ juu ya kila kilima kirefu,+ juu ya vilele vyote vya milima+ na chini ya kila mti wenye majani mengi+ na chini ya kila mti mkubwa wenye matawi mengi,+ mahali ambapo wametoa harufu yenye kutuliza kwa sanamu zao zote za mavi.+

  • Hosea 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wao hutoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+ nao hufukiza moshi wa dhabihu juu ya vilima,+ chini ya mti mnene na mlubna na mti mkubwa, kwa sababu kivuli chake ni kizuri.+ Ndiyo sababu binti zenu hufanya uasherati na binti-wakwe zenu hufanya uzinzi.

  • Waroma 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki