Hosea 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+Na juu ya vilima wanafukiza moshi wa dhabihu,Chini ya mialoni na milubna na kila mti mkubwa,+Kwa sababu vivuli vyake ni vizuri. Ndiyo sababu mabinti wenu wanafanya ukahaba*Na mabinti wakwe zenu wanafanya uzinzi.
13 Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima,+Na juu ya vilima wanafukiza moshi wa dhabihu,Chini ya mialoni na milubna na kila mti mkubwa,+Kwa sababu vivuli vyake ni vizuri. Ndiyo sababu mabinti wenu wanafanya ukahaba*Na mabinti wakwe zenu wanafanya uzinzi.